Hahaha jf bwanaLabda ya cement
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeMifuko ya kisista du , yakubebea vitu supermarket/sokoni ya kitambaa tena mmoja elfu kumi wakati huko supermarket kuna mifuko ya Mia tano Mia tano nani anunue wa elfu kumi
acha basiii...group sex ...yaani kumbe alikuwa anafanya hizo mambo...na nani ?Bahati yake anatumia nyota ya familia ya Mengi hao waliompa tuZo Dubai hawamjui vizuri Mdanganyi konkiii😂😂😂
Kwa sababu ya kutumia “Mengi” wanadhani ni dem wa maana, siku hizi amerudi kwenye maisha yake ya kulewa na kufanya group sex kama alivyokua zamani
Mzee inauma enhee na wale ndugu zako wanaoua wanaume wa makabila mengine na kuirudisha Mali kwenu imekaaje iyo.Nanimwizi wa mali za watu naatavuna alichokipanda watu husema tenda mambo ya haki kwa maana yasiyo ya haki huja baadae kuwa kama ugonjwa utafurahia mali za watoto wawatu ila ipo siku Mungu atakuabisha .
Unamtegea mzee wawatu anaumwa unaanza kumsignisha mali zake pasipo ufahamu wake .
Kwanza umekaribishwa kwa familia ukavunja uaminifu ukawasettle lia wakina madama wakaachwa ukaingilia kayo ukaona haitoshi ukaivunja ndoa ya watu nakuweka kwenye udongo na matope mazito ikafifia ukaforce kila kitu mpaka ukang'ang'ana na watoto ukapeaby force .
Ukaona haitoshi ukaforce kupewa jasho la watu wengine .
It is okey ila kila chozi litalipa hapa hapa .
Nakila jambo hupata suluhu hapa hapa .
Ndio maana tunasema ukiona umeanza kumuelewa mwanamke/msichana jua unakaribia kufa.Yaan upele humpata asie na kucha mie naona bado Jack hakustahili kbs kuishia kwenye kiwanda cha furnitrure sijui kwann wengine wanachezea bahati!
Angembembeleza le mbebez amtftie connection za kibabe aexport ht vitu vy maana mfano asali..
Au angefungua kiwanda chochote kile kikubwa
Au angekuwa super dealer wa "zahabu" au Tanzanite huko "madubei"jaman! Dah[emoji848] kwamba niolewe na kibopa niishie kifanya hvyo tu?
HheeheheheheNdio maana tunasema ukiona umeanza kumuelewa mwanamke/msichana jua unakaribia kufa.
RIP mzee mengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa dada zangu waume zao wako hai wametafuta wote kaka zangu wanawake zao na wao wametafuta kwa jasho wote.Mzee inauma enhee na wale ndugu zako wanaoua wanaume wa makabila mengine na kuirudisha Mali kwenu imekaaje iyo.
Vipi na wanaoiba na kuwapa kaka zao waendeleze inakuwa je ama mkuki kwa nguruwe. Dada zako ndo wanaoongoza kuwaua wanaume kisa mali
Hakuzaa. She used a surrogateYule dada hata mkisema ndio hivyo hata kaa awe level zenu.Wengine wangepewa wadate na yule mzee hata siku kadhaa ingewashinda kutulia hata kumaintain profile yenyewe. Kavumilia kaolewa kazaa so she deserves it