Gazeti maarufu duniani Forbes lamuongelea Jackline Ntuyabaliwe Mengi

Gazeti maarufu duniani Forbes lamuongelea Jackline Ntuyabaliwe Mengi

Mifuko ya kisista du , yakubebea vitu supermarket/sokoni ya kitambaa tena mmoja elfu kumi wakati huko supermarket kuna mifuko ya Mia tano Mia tano nani anunue wa elfu kumi
Aisee
 
Hahaha
Bahati yake anatumia nyota ya familia ya Mengi hao waliompa tuZo Dubai hawamjui vizuri Mdanganyi konkiii😂😂😂

Kwa sababu ya kutumia “Mengi” wanadhani ni dem wa maana, siku hizi amerudi kwenye maisha yake ya kulewa na kufanya group sex kama alivyokua zamani
acha basiii...group sex ...yaani kumbe alikuwa anafanya hizo mambo...na nani ?
 
Nanimwizi wa mali za watu naatavuna alichokipanda watu husema tenda mambo ya haki kwa maana yasiyo ya haki huja baadae kuwa kama ugonjwa utafurahia mali za watoto wawatu ila ipo siku Mungu atakuabisha .
Unamtegea mzee wawatu anaumwa unaanza kumsignisha mali zake pasipo ufahamu wake .
Kwanza umekaribishwa kwa familia ukavunja uaminifu ukawasettle lia wakina madama wakaachwa ukaingilia kayo ukaona haitoshi ukaivunja ndoa ya watu nakuweka kwenye udongo na matope mazito ikafifia ukaforce kila kitu mpaka ukang'ang'ana na watoto ukapeaby force .
Ukaona haitoshi ukaforce kupewa jasho la watu wengine .
It is okey ila kila chozi litalipa hapa hapa .
Nakila jambo hupata suluhu hapa hapa .
Mzee inauma enhee na wale ndugu zako wanaoua wanaume wa makabila mengine na kuirudisha Mali kwenu imekaaje iyo.
Vipi na wanaoiba na kuwapa kaka zao waendeleze inakuwa je ama mkuki kwa nguruwe. Dada zako ndo wanaoongoza kuwaua wanaume kisa mali
 
Yaan upele humpata asie na kucha mie naona bado Jack hakustahili kbs kuishia kwenye kiwanda cha furnitrure sijui kwann wengine wanachezea bahati!
Angembembeleza le mbebez amtftie connection za kibabe aexport ht vitu vy maana mfano asali..
Au angefungua kiwanda chochote kile kikubwa
Au angekuwa super dealer wa "zahabu" au Tanzanite huko "madubei"jaman! Dah[emoji848] kwamba niolewe na kibopa niishie kifanya hvyo tu?
Ndio maana tunasema ukiona umeanza kumuelewa mwanamke/msichana jua unakaribia kufa.

RIP mzee mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mengi mwenyewe alishawahi kusema kama sio jacky angeshakufa zamani.Which means alimbust kidogo.Sasa awe alimuua au hakumuua as long as marehemu mwenyewe alimkubari amuue.Mana kama MTU anasema kama si huyu Dada kutokea ningekufa huku huyu Dada naye alikuwa Na mahesabu yake kichwani ya mali.It was a win win Situation.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee inauma enhee na wale ndugu zako wanaoua wanaume wa makabila mengine na kuirudisha Mali kwenu imekaaje iyo.
Vipi na wanaoiba na kuwapa kaka zao waendeleze inakuwa je ama mkuki kwa nguruwe. Dada zako ndo wanaoongoza kuwaua wanaume kisa mali
Sasa dada zangu waume zao wako hai wametafuta wote kaka zangu wanawake zao na wao wametafuta kwa jasho wote.
Yeye ni mwizi malaya mzee natena kafogi maisha angetafuta mbona hajamfuata mengi kipindi anajitambua hapo ningemwona mjanja sasa kazeeka hajitambui naye ndio anaingiza majeshi kapuku huyo sisi ni WACHAGA NOTE THAT
 
Hakuzaa. She used a surrogate

Sent using Jamii Forums mobile app

Mbona mimba hiyo ? Hakutumia Surrogate alipandikizwa, alianza mikakati mapema kwa ajili ya urithi wa baadae ndio maana alitumia nguvu nyingi yeye mwenyewe kumshawishi Mzee Ili akakumuliwe wazae na Bado tena akatuma watu wamshawishi Mzee Mengi amuoe Mzee akawa anasita sita , mwishoe bibie na kundi lake wakaingia na Gia ya husipomuoa atajiua😂😂😂 Kwa kua Mzee alikua anafikishwa ikabidi akubali kwa roho upande ili bi dada hasijiue

Huku ndumba zinakolezwa Kigoma ili Mzee akubali kumuoa
 

Attachments

  • 318C9667-4DBF-42F6-B345-DC0E387C6A1F.jpeg
    318C9667-4DBF-42F6-B345-DC0E387C6A1F.jpeg
    43.5 KB · Views: 4
Back
Top Bottom