mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
mi napita.........Unaweza kutumbuwa wewe. Tatizo nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi napita.........Unaweza kutumbuwa wewe. Tatizo nini?
MK254 Kuna topic humu iliwekwa kuhusu mauwaji ya waziri mmoja wa kenya aliyekutwa kafa shambani kwake wakati wa utawala wa moi nilitamani sana kusikia mchango wako
Huyo RC ni touchable, sema kwa situation iliyopo mwenye mamlaka analazimika kumwacha kwa sababu ambazo wengi hawazielewi!Huyo RC wenu noma, untouchable.... Nakumbuka Nape alivyokua anatema cheche kipindi cha kampeni, amegusa pabaya.
Uhuru ukizidi unakuwa utumwaWatch it,if u think u have freedom,not to that extent
Eti enzi za colonial , Is Mungiki Modern era?? Uache ufala kuona kijiti kwa jicho la mwenzako ..Hahaha Kuna watu wanarudi nyuma.. Enzi ya colonial period
Mungiki ipo wapi??Eti enzi za colonial , Is Mungiki Modern era?? Uache ufala kuona kijiti kwa jicho la mwenzako ..
Uchaguzi wenu Umekaribia yasijejirudia ya 2007.
You are too delicate and susceptible to radicals than any in this region,
Mungiki iko Kenya,Mungiki ipo wapi??
Hapana, Nape ni maarufu siku nyingi sana, unataka kufananisha na wewe?
Bado linakusumbua akili??Mungiki iko Kenya,
Ile kundi la kinyang'au lilikuwa responsible kuchinja ndugu zako wakenya 2007, lilikuwa funded na Uhuruto.
Magufuli anaturudisha back.Hivi Tanzania bado wamo century gani hii?? Ni ile era kama ya Moi, Raisi afuta waziri kazi na kuandika mwingine anavyopenda ni kama nchi ni boma lake??? Aisee
Kufananisha na wewe [emoji808]Hapana, Nape ni maarufu siku nyingi sana, unataka kufananisha na wewe?