Elections 2010 GDP ndiyo kipimo cha Umaskini, Dr. Slaa alikuwa sahihi?

Elections 2010 GDP ndiyo kipimo cha Umaskini, Dr. Slaa alikuwa sahihi?

Zawadi Ngoda

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2009
Posts
4,175
Reaction score
2,294
Heshima yangu kwa Mh Slaa sasa hivi ndio imetoweka kabisa. Sidhani kama baada ya maelezo na uthibitisho wangu hapa, kuna mtanzania yeyote yule atamuamini, hasa katika kumpa kura na kushika nafasi kubwa ya URAIS.

Nanukuu maneno yake: "Tanzania inashika nafasi ya 2 au ya 3 kwa umasikini Afrika". Maneno hayo kayasema bila kutoa chanzo (source) ya kuthibitisha uhakika wa maneno hayo.
Afrika ina ina nchi 52, maana yake sisi ni wa 49 au 50. Ukitembelea World Rankings and Records, unapata takwimu nyingine kabisa. Hivi ndivyo huo mtandao unavyoipa nafasi Tz.

1. Equitorial Quinea............................dola $ 30 200

2. Botswana...................................$ 15900


3. Gabon..........................................$ 14900


4. Libya.........................................$ 14900

6. Afrika kusini.................................$ 10000

.............................................

..................................................

27. Ghana.......................................$ 1500

................................................

..................................................



30. TANZANIA...............................$ 1400

.................................................

...............................................

42. Malawi .....................................$ 800

....................................................

..................................................

49. Liberia.....................................$ 500

..............................................

52. Zimbabwe...........................$ 400

Swali. No 49 ni nafasi inayochukuliwa na nchi gani? Hata swali hilo kama Mh Slaa akishindwa kujibu, sasa huyo atakuwa zaidi ya kilaza.

Nimepitia mitandao tofauti 10 maarufu hapa duniani, toka benki kuu ya dunia mpaka paris club, lakini hakuna mtandao uliyoiweka TANZANIA chini ya No 36 ktk Afrika.

Sasa huyu KILAZA WENU, hiyo Nafasi ya 2 au 3 aliipata wapi? Au ndio ameamua kuchukua takwimu za miaka ya 1980-95? Amepitwa na wakati kabisa, tena hatufai kabisa.

Hatutaki raisi muongo na kama si muongo basi haujui kabisa uchumi. Mimi sijui lipi la kweli kwake kati ya hayo mawili.

Ninachojua ni kimoja, iwe la kwanza au la pili ndio linaendana na Mh Slaa, basi hafai kuwa Rais katika kipindi hiki ambapo uchumi ni ISSUE.
 
Heshima yangu kwa Mh Slaa sasa hivi ndio imetoweka kabisa. Sidhani kama baada ya maelezo na uthibitisho wangu hapa, kuna mtanzania yeyote yule atamuamini, hasa katika kumpa kura na kushika nafasi kubwa ya URAIS.

Nanukuu maneno yake: "Tanzania inashika nafasi ya 2 au ya 3 kwa umasikini Afrika". Maneno hayo kayasema bila kutoa chanzo (source) ya kuthibitisha uhakika wa maneno hayo.
Afrika ina ina nchi 52, maana yake sisi ni wa 49 au 50. Ukitembelea World Rankings and Records, unapata takwimu nyingine kabisa. Hivi ndivyo huo mtandao unavyoipa nafasi Tz.

1. Equitorial Quinea............................dola $ 30 200

2. Botswana...................................$ 15900


3. Gabon..........................................$ 14900


4. Libya.........................................$ 14900

6. Afrika kusini.................................$ 10000

.............................................

..................................................

27. Ghana.......................................$ 1500

................................................

..................................................



30. TANZANIA...............................$ 1400

.................................................

...............................................

42. Malawi .....................................$ 800

....................................................

..................................................

49. Liberia.....................................$ 500

..............................................

52. Zimbabwe...........................$ 400

Swali. No 49 ni nafasi inayochukuliwa na nchi gani? Hata swali hilo kama Mh Slaa akishindwa kujibu, sasa huyo atakuwa zaidi ya kilaza.

Nimepitia mitandao tofauti 10 maarufu hapa duniani, toka benki kuu ya dunia mpaka paris club, lakini hakuna mtandao uliyoiweka TANZANIA chini ya No 36 ktk Afrika.

Sasa huyu KILAZA WENU, hiyo Nafasi ya 2 au 3 aliipata wapi? Au ndio ameamua kuchukua takwimu za miaka ya 1980-95? Amepitwa na wakati kabisa, tena hatufai kabisa.

Hatutaki raisi muongo na kama si muongo basi haujui kabisa uchumi. Mimi sijui lipi la kweli kwake kati ya hayo mawili.

Ninachojua ni kimoja, iwe la kwanza au la pili ndio linaendana na Mh Slaa, basi hafai kuwa Rais katika kipindi hiki ambapo uchumi ni ISSUE.


8E9U9965.jpg


Tanzania imeendelea sana hebu angalieni foleni mjini Dar es Salaam na magorofa yanazidi ongezeka!
 
tatizo la zawadi huelewi nini maana ya indicators... wewe lako zogo na soga... kakojoe ulalee ehh mama, kesho ukiamka fnya usafi vaa kanga uliyopewa na blausi pika chai kunywa, jumapili jiandae na lizombe

kwisha

ndio maisha unayoyaweza hayo
 
Uongo wake mwisho Jumapili

Popooooooooooooooooooooo Bawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Tanzania inashika nafasi ya 2 au ya 3 kwa umasikini Afrika
maneno hayo aliyasema wapi , tuanze hapo kwanza, na alikua anazungumzia nini ?
 
tatizo la zawadi huelewi nini maana ya indicators... wewe lako zogo na soga... kakojoe ulalee ehh mama, kesho ukiamka fnya usafi vaa kanga uliyopewa na blausi pika chai kunywa, jumapili jiandae na lizombe

kwisha

ndio maisha unayoyaweza hayo
Hana akili huyu tuachane nae!
 
Heshima yangu kwa Mh Slaa sasa hivi ndio imetoweka kabisa. Sidhani kama baada ya maelezo na uthibitisho wangu hapa, kuna mtanzania yeyote yule atamuamini, hasa katika kumpa kura na kushika nafasi kubwa ya URAIS.

Nanukuu maneno yake: "Tanzania inashika nafasi ya 2 au ya 3 kwa umasikini Afrika". Maneno hayo kayasema bila kutoa chanzo (source) ya kuthibitisha uhakika wa maneno hayo.
Afrika ina ina nchi 52, maana yake sisi ni wa 49 au 50. Ukitembelea World Rankings and Records, unapata takwimu nyingine kabisa. Hivi ndivyo huo mtandao unavyoipa nafasi Tz.

1. Equitorial Quinea............................dola $ 30 200

2. Botswana...................................$ 15900


3. Gabon..........................................$ 14900


4. Libya.........................................$ 14900

6. Afrika kusini.................................$ 10000

.............................................

..................................................

27. Ghana.......................................$ 1500

................................................

..................................................



30. TANZANIA...............................$ 1400

.................................................

...............................................

42. Malawi .....................................$ 800

....................................................

..................................................

49. Liberia.....................................$ 500

..............................................

52. Zimbabwe...........................$ 400

Swali. No 49 ni nafasi inayochukuliwa na nchi gani? Hata swali hilo kama Mh Slaa akishindwa kujibu, sasa huyo atakuwa zaidi ya kilaza.

Nimepitia mitandao tofauti 10 maarufu hapa duniani, toka benki kuu ya dunia mpaka paris club, lakini hakuna mtandao uliyoiweka TANZANIA chini ya No 36 ktk Afrika.

Sasa huyu KILAZA WENU, hiyo Nafasi ya 2 au 3 aliipata wapi? Au ndio ameamua kuchukua takwimu za miaka ya 1980-95? Amepitwa na wakati kabisa, tena hatufai kabisa.

Hatutaki raisi muongo na kama si muongo basi haujui kabisa uchumi. Mimi sijui lipi la kweli kwake kati ya hayo mawili.

Ninachojua ni kimoja, iwe la kwanza au la pili ndio linaendana na Mh Slaa, basi hafai kuwa Rais katika kipindi hiki ambapo uchumi ni ISSUE.

muwe na masikio sikivu,juu ya hili alitamka inategemea unatumia kigezo gani lakini kwa taarifa zilizokuwapo katika bunge la afrika nchi shirikishi jamani tatizo letu hatusomi na kufanya comparison ya vitabu na report mbalimbali
 
Wajanja wote wanaujua ujuha wa Slaa... ndo maana hawatampa kura. udomo kaya wa slaa hauna mshiko wala sifa ya kutinga mahali km ikulu.....
 
maneno hayo aliyasema wapi , tuanze hapo kwanza, na alikua anazungumzia nini ?

Aliyasema kwenye mdahalo wake, Ingia kwa Michuzi angalia KLIPP iliyopigwa na mwanakijiji.

Sorry nilifikiri unaangalia MIDAHALO YAKE!!!!!!!!! ndio maana sikuandika wapi nimemsikia.
 
mbona kila ukija ni yaleyale tu. kufikiri kumepungua nini? Tafuta jingine!
 
Zawadi Ngoda...!!! Wewe ndo mtu pekee wa kutoka Tanga ulieona hilo moja tu!!!!! AFADHALI umeona uongo mmoja wa SLAA ukashindwa kuangalia ufisadi na dhuluma, vijembe na dharau za wazi wazi za huyu mkwele!!!! zawadi wee mbona sie kule TANGA hatuko hivyo????
 
muwe na masikio sikivu,juu ya hili alitamka inategemea unatumia kigezo gani lakini kwa taarifa zilizokuwapo katika bunge la afrika nchi shirikishi jamani tatizo letu hatusomi na kufanya comparison ya vitabu na report mbalimbali

OK! Tuseme uko sahihi, basi naomba tafadhali source ambako nitakwenda kuhakikisha hilo.

Chonde chonde naomba source!!!!!
 
Wewe Zawadi Kagoda (Ngoda) hapa siyo taarab ulicholeta hapa ni GDP au? Je umelinganisha website ngapi? Toa uchafu huu hapa unachafua IQ zetu bure
 
muwe na masikio sikivu,juu ya hili alitamka inategemea unatumia kigezo gani lakini kwa taarifa zilizokuwapo katika bunge la afrika nchi shirikishi jamani tatizo letu hatusomi na kufanya comparison ya vitabu na report mbalimbali

Kagemro, nimekukimbiza! Inachukua muda gani kutoa SOURCE?

Hata kama ni wataalam wa CHADEMA NDIO WALIFANYA utafiti tupe basi, mimi nitaukubali.
 
30. Tanzania...............................$ 1400

.................................................

...............................................

42. Malawi .....................................$ 800

.................................................. ..

..................................................

49. Liberia.....................................$ 500

..............................................

52. Zimbabwe...........................$ 400
tizama
 
Back
Top Bottom