Ukweli unauma sana. Zawadi ametoa ukweli na watu wanaumia. Ni kweli kuwa Slaa huongea bila kutafakari anachoongea na baadaye huumbuka.
Afadhali kwamba hatapata URAIS aendelee kutuaibisha katika macho ya dunia. Watanzania wanajua tofauti ya pumba na mchele.
hahahahahahahahahahatatizo la zawadi huelewi nini maana ya indicators... wewe lako zogo na soga... kakojoe ulalee ehh mama, kesho ukiamka fnya usafi vaa kanga uliyopewa na blausi pika chai kunywa, jumapili jiandae na lizombe
kwisha
ndio maisha unayoyaweza hayo
Kwa mujibu wa zawadi ngodaHeshima yangu kwa Mh Slaa sasa hivi ndio imetoweka kabisa. Sidhani kama baada ya maelezo na uthibitisho wangu hapa, kuna mtanzania yeyote yule atamuamini, hasa katika kumpa kura na kushika nafasi kubwa ya URAIS.
Nanukuu maneno yake: "Tanzania inashika nafasi ya 2 au ya 3 kwa umasikini Afrika". Maneno hayo kayasema bila kutoa chanzo (source) ya kuthibitisha uhakika wa maneno hayo.
Afrika ina ina nchi 52, maana yake sisi ni wa 49 au 50. Ukitembelea World Rankings and Records, unapata takwimu nyingine kabisa. Hivi ndivyo huo mtandao unavyoipa nafasi Tz.
1. Equitorial Quinea............................dola $ 30 200
2. Botswana...................................$ 15900
3. Gabon..........................................$ 14900
4. Libya.........................................$ 14900
6. Afrika kusini.................................$ 10000
.............................................
..................................................
27. Ghana.......................................$ 1500
................................................
..................................................
30. TANZANIA...............................$ 1400
.................................................
...............................................
42. Malawi .....................................$ 800
....................................................
..................................................
49. Liberia.....................................$ 500
..............................................
52. Zimbabwe...........................$ 400
Swali. No 49 ni nafasi inayochukuliwa na nchi gani? Hata swali hilo kama Mh Slaa akishindwa kujibu, sasa huyo atakuwa zaidi ya kilaza.
Nimepitia mitandao tofauti 10 maarufu hapa duniani, toka benki kuu ya dunia mpaka paris club, lakini hakuna mtandao uliyoiweka TANZANIA chini ya No 36 ktk Afrika.
Sasa huyu KILAZA WENU, hiyo Nafasi ya 2 au 3 aliipata wapi? Au ndio ameamua kuchukua takwimu za miaka ya 1980-95? Amepitwa na wakati kabisa, tena hatufai kabisa.
Hatutaki raisi muongo na kama si muongo basi haujui kabisa uchumi. Mimi sijui lipi la kweli kwake kati ya hayo mawili.
Ninachojua ni kimoja, iwe la kwanza au la pili ndio linaendana na Mh Slaa, basi hafai kuwa Rais katika kipindi hiki ambapo uchumi ni ISSUE.
Yaani wewe ndo Kilaza wa kutupwa kabisa halafu ukome kutumia ukilaza wako kuita watu wengine vilaza! Hivi upumbavu wako umekufanya mpaka utembelee internet ili kujua kama Tanzania ni ya mwisho kwa umaskini wakati watu wa kutumiaz kama sample wako hapo hapo kwako. Sijui umesoma wapi! Hapa hakuna haja ya kupanga Tanzania ya ngapi. Hoja hapa ni kuwa Tanzania ni maskini ya kutupwa na umaskini huo umesababishwa na nyie msioelewa na mnaouza nchi kwa wageni. Achana na Tanzania ya ngapi, wewe angalia ndugu zako wanavyohangaika na nyumba za tembe zinavuja. Ukome kabisa kuita wazalendo vilaza. Hao mafisadi wako wanaosaini mikataba wamefumba macho utawaitaje! Halo, iwe mwisho Bwana!!!!
Leo mpaka kieleweke, MBWEMBWE AU UCHUMI.
SASA TUWE MAKINI, WAONGO TUWAENGUE. MH SLAA NI MUONGO!!!!!!!!
Ukweli unauma sana. Zawadi ametoa ukweli na watu wanaumia. Ni kweli kuwa Slaa huongea bila kutafakari anachoongea na baadaye huumbuka.
Afadhali kwamba hatapata URAIS aendelee kutuaibisha katika macho ya dunia. Watanzania wanajua tofauti ya pumba na mchele.
Aliyasema kwenye mdahalo wake, Ingia kwa Michuzi angalia KLIPP iliyopigwa na mwanakijiji.
Sorry nilifikiri unaangalia MIDAHALO YAKE!!!!!!!!! ndio maana sikuandika wapi nimemsikia.
Zawadi kwako bi Zawadi ngoda kawawa
GDP per Capita in Tanzania | Global Property Guide
Kama utachekelea hiyo graph asubuhi kesho uwahi hospitali kupata matibabu ya akili
nAKUSHUKURU SANA KWA takwimu hizo. Lakini jaribu kuhesabu toka juu uone Tanzania iko ya ngapi?
Mimi nimehesabu na nimepata kuwa TANZANIA toka juu ni ya 30. Hivyo bado niko sahihi.
Hata hivyo nakushukuru sana kwa uwazi. Nasisitiza tena na tena, kuwa kuwa katika nafasi ya 30 haimaanishi kuwa hatuna matatizo ya uchumi, bali ilikuwa ni kujmsahihisha Mh Slaa kuwa aliyoyasema si kweli. Na huwezi kwenda ikulu kwa kudanganya.
Narudia tena, kuwa yaweza kuwa nimehesabu vibaya, nawaomba wenzangu mbofye hapa na uhesabu nafasi ya TZ:
GDP per Capita in Tanzania | Global Property Guide
Haingii mtu ikulu kwa kudanganya!
Heshima yangu kwa Mh Slaa sasa hivi ndio imetoweka kabisa. Sidhani kama baada ya maelezo na uthibitisho wangu hapa, kuna mtanzania yeyote yule atamuamini, hasa katika kumpa kura na kushika nafasi kubwa ya URAIS.
Nanukuu maneno yake: "Tanzania inashika nafasi ya 2 au ya 3 kwa umasikini Afrika". Maneno hayo kayasema bila kutoa chanzo (source) ya kuthibitisha uhakika wa maneno hayo.
Afrika ina ina nchi 52, maana yake sisi ni wa 49 au 50. Ukitembelea World Rankings and Records, unapata takwimu nyingine kabisa. Hivi ndivyo huo mtandao unavyoipa nafasi Tz.
1. Equitorial Quinea............................dola $ 30 200
2. Botswana...................................$ 15900
3. Gabon..........................................$ 14900
4. Libya.........................................$ 14900
6. Afrika kusini.................................$ 10000
.............................................
..................................................
27. Ghana.......................................$ 1500
................................................
..................................................
30. TANZANIA...............................$ 1400
.................................................
...............................................
42. Malawi .....................................$ 800
....................................................
..................................................
49. Liberia.....................................$ 500
..............................................
52. Zimbabwe...........................$ 400
Swali. No 49 ni nafasi inayochukuliwa na nchi gani? Hata swali hilo kama Mh Slaa akishindwa kujibu, sasa huyo atakuwa zaidi ya kilaza.
Nimepitia mitandao tofauti 10 maarufu hapa duniani, toka benki kuu ya dunia mpaka paris club, lakini hakuna mtandao uliyoiweka TANZANIA chini ya No 36 ktk Afrika.
Sasa huyu KILAZA WENU, hiyo Nafasi ya 2 au 3 aliipata wapi? Au ndio ameamua kuchukua takwimu za miaka ya 1980-95? Amepitwa na wakati kabisa, tena hatufai kabisa.
Hatutaki raisi muongo na kama si muongo basi haujui kabisa uchumi. Mimi sijui lipi la kweli kwake kati ya hayo mawili.
Ninachojua ni kimoja, iwe la kwanza au la pili ndio linaendana na Mh Slaa, basi hafai kuwa Rais katika kipindi hiki ambapo uchumi ni ISSUE.
Zawadi umeolewa????????
nAKUSHUKURU SANA KWA takwimu hizo. Lakini jaribu kuhesabu toka juu uone Tanzania iko ya ngapi?
Mimi nimehesabu na nimepata kuwa TANZANIA toka juu ni ya 30. Hivyo bado niko sahihi.
Hata hivyo nakushukuru sana kwa uwazi. Nasisitiza tena na tena, kuwa kuwa katika nafasi ya 30 haimaanishi kuwa hatuna matatizo ya uchumi, bali ilikuwa ni kujmsahihisha Mh Slaa kuwa aliyoyasema si kweli. Na huwezi kwenda ikulu kwa kudanganya.
Narudia tena, kuwa yaweza kuwa nimehesabu vibaya, nawaomba wenzangu mbofye hapa na uhesabu nafasi ya TZ:
GDP per Capita in Tanzania | Global Property Guide
Haingii mtu ikulu kwa kudanganya!
Dhamira yako hapa sasa naielewa. KUFANYA KAMPAGN ZA JK. Zimeisha na unajua Jumapili tunapiga kura pokea matokea kwa utulivu. Sisi tunamwelewa Dr Slaa. Hatukuombi umpigie Slaa. Huonyeshi uungwana wala dhamira ya majadiriano. Unaonyesha chuki. Takwimu zako sikubaliani nazo linganisha na za NBS.
This is a list of African countries by GDP per capita at Purchasing Power Parity. All figures are in 2005 International Dollars.
African rankhttp://en.wikipedia.org/wiki/List_of_African_countries_by_GDP_(PPP)_per_capita#World rankhttp://en.wikipedia.org/wiki/List_of_African_countries_by_GDP_(PPP)_per_capita#Nationhttp://en.wikipedia.org/wiki/List_of_African_countries_by_GDP_(PPP)_per_capita#GDP per capitahttp://en.wikipedia.org/wiki/List_of_African_countries_by_GDP_(PPP)_per_capita#Total GDP world rankhttp://en.wikipedia.org/wiki/List_of_African_countries_by_GDP_(PPP)_per_capita#141Equatorial Guinea$16,507113254Mauritius$13,029120357Seychelles$12,135172462South Africa$11,03521563Libya$11,35467664Botswana$10,866116775Tunisia$8,22362887Algeria$7,09538989Gabon$6,9771381091Namibia$6,6581281193Cape Verde$6,28716112100Morocco$5,7655313105Swaziland$5,18114814115Egypt$4,2823215129Angola$2,8297916133Ghana$2,6017317136Sudan$2,4176018138Zimbabwe$2,4139819139Mauritania$2,30714620140Cameroon$2,2848221142Lesotho$2,16315222148The Gambia$1,99916023150Guinea$1,98611324151Djibouti$1,95716825153Senegal$1,91411126155Uganda$1,8177527156Chad$1,74412528157Comoros$1,71717129158São Tomé and Príncipe$1,63818730161Togo$1,60014031162Côte d'Ivoire$1,4759732164Rwanda$1,43113133167Republic of the Congo$1,37915634169Mozambique$1,33510135170Burkina Faso$1,32611736171Nigeria$1,1884637172Central African Republic$1,16315438173Benin$1,14714239174Kenya$1,1258840176Mali$1,08412941177Eritrea$91715842178Zambia$91113643179Madagascar$91111944180Sierra Leone$90115345181Liberia$90016346182Niger$89613447183Ethiopia$8596948184Guinea-Bissau$85616949186Burundi$75314950188Tanzania$7209951189Democratic Republic of the Congo$6758352190Somalia$60015753191Malawi$596145
Visit Wikipedia for more information
Vigezo vya kurank nchi viko vingi inategemea unatumia vigezo vip?
Stop being myopic hukusoma DS chuoni?on develepment?
Pitia sorce mbalimbali lafu ndoo uje na hoja zako apa