Jojo123
JF-Expert Member
- Jan 31, 2013
- 432
- 703
Habari wanaJf
Week hii tunaona IMf iki isifia Tanzania kupaa kiuchumi kutoka 69.9bilion Dollar kwa Miaka miwili tumefikia 85.45Bilion dollar.
Ambapo wastani wa pato la mtu moja moja ni sawa na Dollar 1320$, ingawa sijui hii wastani una angaliwa kwa Mwezi au kwa mwaka.?
Sasa swali langu ni je! hii GDP ya dolar bilion 85.45 sawa na Trillion 200 Tsh.
Je hii thaman kuu inajumlishwa kutoka katika mali zote za nchi, au mtaji wa fedha zilizopo katika mzunguko wakila siku. Au wana piga hesabu ya rasilimali za nchi zote, ndio wana pata kama zikiwekwa sokoni ndio inapatikana jumla ya thaman kuwa ikiuzwa na kugawanywa kila mtu ata pata kiasi cha dollar 1320$
Naombeni anaye jua kuelezea hii GDP inapatikanje anisaidie?
Natanguliza Shukranj.
Asanten.
Week hii tunaona IMf iki isifia Tanzania kupaa kiuchumi kutoka 69.9bilion Dollar kwa Miaka miwili tumefikia 85.45Bilion dollar.
Ambapo wastani wa pato la mtu moja moja ni sawa na Dollar 1320$, ingawa sijui hii wastani una angaliwa kwa Mwezi au kwa mwaka.?
Sasa swali langu ni je! hii GDP ya dolar bilion 85.45 sawa na Trillion 200 Tsh.
Je hii thaman kuu inajumlishwa kutoka katika mali zote za nchi, au mtaji wa fedha zilizopo katika mzunguko wakila siku. Au wana piga hesabu ya rasilimali za nchi zote, ndio wana pata kama zikiwekwa sokoni ndio inapatikana jumla ya thaman kuwa ikiuzwa na kugawanywa kila mtu ata pata kiasi cha dollar 1320$
Naombeni anaye jua kuelezea hii GDP inapatikanje anisaidie?
Natanguliza Shukranj.
Asanten.