Geez Mabovu ameacha deni kwa vituo vya redio, kucheza nyimbo zake sasa hazililipi

Geez Mabovu ameacha deni kwa vituo vya redio, kucheza nyimbo zake sasa hazililipi

The other side of the coin huwa haizungumzwi,mwenye ujasiri akijitokeza atarushiwa chupa za mikojo,mawe,atatukanwa,(yalimtokea ommy dimpoz aliposema kuhusu ngwair),jamaa yetu(RIP)alikuwa ni mlevi sugu hasa wa spirits kuhusu ngoma(unga)sidhani kama aliwahi kutumia lakini ulevi sugu nao umechangia sana kifo chake also katika hekaheka zake to 2000's hajaweza hata kujiwekeza hata kidogo kwa kufungua kimradi chochote kidogo(just a question) tukishamaliza kuongelea mazuri kama hayo hapo kwenye uzi tuangalie na makosa waliyofanya ndugu zetu waliotangulia mbele za haki ili wasanii na wengine tusio wasanii tujifunze kuwa you must choose to LIVE or to PERISH through our actions

Good Point.

Wasanii wenyewe wanakosea sana wanapoanza kupata hizo hela zao, wanatumia hovyo wanafilisika. Siku wakifa wanategemea wapate sympathy ya jamii.
 
Mkuu ulikuwa naye mitaa ya Aika nini.Unajua Marehemu angekuwa teja lakini alikuwa kila akivuta poda anatoka majipu usoni maana yake ulimkataa.R.I.P Med Pengo.
!
!
dah ahsante mkuu umenikumbusha hiyo baa alikuwa anakaa sana hapo. Kuna mteja mmoja wa kuitwa dp kipande hiyo one time walimkataga kidole kwa wizi pande za kituo cha taxi hapo. Hivi yupo huyu mtu?
 
!
!
dah ahsante mkuu umenikumbusha hiyo baa alikuwa anakaa sana hapo. Kuna mteja mmoja wa kuitwa dp kipande hiyo one time walimkataga kidole kwa wizi pande za kituo cha taxi hapo. Hivi yupo huyu mtu?

Majuto a.k.a Dp yupo yule , naona sasa hivi anarudi kwenye ubrazameni wake. Atakuwa amepunguza dozi au ameacha kabisa.Ila lile jumba la big brother linawamaliza sana watoto wa kinondoni juu huku.
 
hivi ni kampuni gani itamwita huyo msanii kufanya nae kazi wakati jina lenyewe halitamkiki masikioni? geez mabovu maana yake nini?
 
Hapa hata Bongo5 nao wana deni kwanini hawakuliongelea hili mapema kabla Geez haja R.I.P?? Mashabiki pia nao wanadeni pia.
Kwa kweli hiyo ilikuwa kali sana sema ndio pengine hakuongea vizuri na wakubwa mwisho wa siku nyimbo ikashindwa kuhiti redioni isikilize hapa cdn11.hulkshare.com/dev11/0/005/824...mp3?key=50f78a70ea39640112c084e0e9113e27&dl=1

Pia kuna nyimbo nyingine inaitwa mimi Humo kamshirikisha Jaymoe, Fid Q, na Chid Benz daah hiyo nyimbo ni moja ya nyimbo bora kabisa kutoka kwa Geez na pengine kutoka kwenye Bongo Fleva industry
 
Majuto a.k.a Dp yupo yule , naona sasa hivi anarudi kwenye ubrazameni wake. Atakuwa amepunguza dozi au ameacha kabisa.Ila lile jumba la big brother linawamaliza sana watoto wa kinondoni juu huku.

!
!
sawa sawa mdau wa kuitwa majuto aka dp au domo p#mbu bana nilimuacha kachakaa kinoma kipindi hicho mwana, yaani gari lilikolea mno mpaka pale maskani akawa hatukai nae tena. Nilikuwa nashinda sana hapo kwenye hilo transfoma kwa mwanangu mmoja wa kuitwa dax kulikuwa na goli la nguo. Jamaa kama kaacha madude basi safi sana bana. Na hivi lile jumba mbona linajulikana tu sana kwa nini halifatiliwi? Dah kuna mateja pale jamani, loooooh.
 
!
!
sawa sawa mdau wa kuitwa majuto aka dp au domo p#mbu bana nilimuacha kachakaa kinoma kipindi hicho mwana, yaani gari lilikolea mno mpaka pale maskani akawa hatukai nae tena. Nilikuwa nashinda sana hapo kwenye hilo transfoma kwa mwanangu mmoja wa kuitwa dax kulikuwa na goli la nguo. Jamaa kama kaacha madude basi safi sana bana. Na hivi lile jumba mbona linajulikana tu sana kwa nini halifatiliwi? Dah kuna mateja pale jamani, loooooh.

Umenikumbusha Abdallah Kundengu a.k.a Dagz nimecheza naye sana cha ndimu yule mitaa ya Garden Kinondoni, sasa hivi yupo Bunju.Lile jumba ni balaa, polisi hawalitii maanani sana kwa kuwa haliuzi poda ila watu wanavutia mule namkumbuka Ngwear (R.I.P),Darkmaster ndio chimbo lao baada ya kukaribishwa na Ahmed Pengo (R.I.P) kipande kile.
 
Back
Top Bottom