Mda uo wamesha elewa lakini wana jizima data tu na ujuaji mwingiWabongo Bwana! Wamehamishia mjadala kwenye namba za gari na kuiacha habari husika upenuni. Tungependa kujua nani wamekufa?, nani wamejeruhiwa?, Hali za majeruhi zikoje/, majeruhi na marehemu wamepelekwa wapi? Ili kama kuna ndugu na jamaa waweze kuwapata wapendwa wao kwa msaada zaidi na marehemu wao wawapate ili wakawahifadhi.
Naona umeamua tu kukaza kichwa ila umeelewa,hata ukisoma kwa umakini hii comment yako,umesha jijibu tayari.Nikiulizwa namba ya gari ndio nitataja T 374 DEF kama ndio hiyo. Wewe utataja 374 pekee?
Kama gari limesajiriwa kwa T na hakuna kingine nitataja kama namba ya usajiri. Kama gari la Waziri wa Nishati na Madini linatajwa hapa tutasema namba za usajiri ni "W NM" wala hatutaziita herufi za usajiri. Hii ni kwenye Kiswahili na kimalkia
Namba za usajiri na tarakimu ni vitu tofauti. Muktadha wetu hapa ni plate number za gari
Wao kujadili namba za gari,wewe inakuzuwiaje kujadili hayo mengine? thd inaweza ikazaa mijadala mingine ndani yake,hilo ni jambo la kawaidaWabongo Bwana! Wamehamishia mjadala kwenye namba za gari na kuiacha habari husika upenuni. Tungependa kujua nani wamekufa?, nani wamejeruhiwa?, Hali za majeruhi zikoje/, majeruhi na marehemu wamepelekwa wapi? Ili kama kuna ndugu na jamaa waweze kuwapata wapendwa wao kwa msaada zaidi na marehemu wao wawapate ili wakawahifadhi.
Usingizi.Dereva wa gari la Jeshi,alihamia upande ambao sio wake! Mambo ndiyo yakawa hayo sasa
Hahahahah eti wana Israel😂Jamaa kanistua Sana wakati tushajiwekea malengo kuwa na E za mwanzon mwanzon nijiondoe kwenye kundi la wanaisrael Mara jamaa anakuja kusema saiz n ERZ dah nilitaka niwe mwarabu ninunue chasis niliweke nje watu wajue nina malengo.
Pole kwa majeruhi na ndugu waliopoteza wapendwa wao
Hii kali kweli? Tumeacha msiba tunajadili magari! Vijana mnakwama wapi?Hata kama tumefika herufi E,ndiyo iwe ERZ?? Hivi unadhani ni mchezo kuimaliza herufi na kwenda nyingine?? Tunaweza kaa miaka 3 hadi 4 ndiyo tunahama herufi! Bado tupo kwenye DRZ huko!
Hiyo itakuwa ya Burundi mkuu sio Rwanda.Gari ya mizigo kutoka Rwanda
😂😂😂😂Nimecheka kwa sauti lolKuna watu watasema Samia ameanza kuwatoa kafara wanajeshi wa Tanganyika
Msilaumu haraka, labda tairi ilipasuka je? Umewahi pasukiwa tairi?Dereva wa gari la Jeshi,alihamia upande ambao sio wake! Mambo ndiyo yakawa hayo sasa
Hapo umejiangusha mwenyewe mkuu.hakuna aliyekusukuma.sasa Huelewi nini hapo.sasa hivi bado tuko kwenye namba DNamba E Ndio ninini? Mbona unaniangusha mkuu
USSR