Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee jamaa huendi mbinguni!!!Sio kwamba matukio yamezidi mkuu , kuna watoto wengne ilibidi wazazi wavae condom ,wakajisahau wakaacha wazaliwe , kuzaa bila mipango kuna leta matokea kama haya sasa.
😆.... kajiua chini ya uangalizi wa jeshi letu la police na hatujiulizi why?,postmortem report hakuna,...ngoja niendelee kupalilia vitindi vyangu vya ulanzi
Sikweli, polisi ukiwapa ushirikiano vizuri hawana shida ,mwl alishatoa ushirikiano bilashakaPolisi wamemuwahisha Akhera.
Kweli kabisa MkuuWalawiti kuuliwa ni sawa kabisa
Wauaji kuuliwa ni sawa kabisa
Russia paedophiles wengi wakifungwa huuliwa au huteswa sanaKweli kabisa Mkuu
Tena wafe kwa mateso sana
Safi sanaRussia paedophiles wengi wakifungwa huuliwa au huteswa sana
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Eti dekio utafikiri alikuwa jikoniYule wa mtwara alitumia tambala kujitundika dirishani.
Polisi bhana
Mkuu yani kila nikitafakari walimu kesho Yao naiona tupu yenye giza ZitoAione mpwayungu village mezani kwake
Sihuwa mnanitukanaKazi ya ualimu itaendelea kubakia kuwa moja ya kazi ngumu kabisa nchini. Ona sasa, sababu ya mauaji! Haina kichwa wala miguu.
Soma habari,imeelezwaUgomvi wao ulikuwa nini chanzo
True sheria haina uwezo wa kuibadilisha Jamii bali chuma tu ndio inawezaSAFI SANA @Tanpol, MAJAMBAZI, wauaji, wanaobaka watoto unafanya uchunguzi wa nini?? Chuma chuma babake