Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Nimefikiria kwa kina sana hili Jambo... 5minutes tu inakutoa uhaiNyege mbaya sana
Inafikirisha sana, vijana wanashindwa ku control nyege zaoNimefikiria kwa kina sana hili Jambo... 5minutes tu inakutoa uhai
Nyege mbaya sana
Meku,ukumbuke rais wa nchi alitokea pande hizo.Aikambee!ππππGeita. Serikali iweke mkazo clinic za kisaikolojia.
Akili nayo inahitaji tiba kama mwili ulivyo
hivi kumbe kubaka ni jambo zuri?Geita. Serikali iweke mkazo clinic za kisaikolojia.
Akili nayo inahitaji tiba kama mwili ulivyo
Kivipihivi kumbe kubaka ni jambo zuri?
Inahusiana vipi na kubaka mkuuMeku,ukumbuke rais wa nchi alitokea pande hizo.Aikambee!ππππ
Pole sana kwa kuondokewa na Kaka yako, hapo hilo suala lifikishe juu zaidi kwa waziri na IGP na humu humu jukwaani endelea kulisema hili naamini litafanyiwa kazi.Kaka yangu ni mlemavu wa akili (down's syndrome) jumapili alichomwa moto akiwa mzima hadi kufa walidhani ni mwizi ukimuangalia vizuri unamjua kabisa huyu ni tahaira.
Lakini cha ajabu waliofanya tukio ilo wameachiwa huru wapo uraiani licha ya kuwepo ushaidi wa video
Matatizo ya "vichwa"!Clinic za vichwa ziwepo.ππππInahusiana vipi na kubaka mkuu
AhaaaπMatatizo ya "vichwa"!Clinic za vichwa ziwepo.ππππ
Wamepatwa na nini au ndiyo wako hivyo siku zote? Mauaji ya Albino yalyotikisa dunia nzima yalifanywa wapi? Chezea siukuma Geita wewe huwajui!Ndugu zetu wa Geita mmepatwa na nn
Kuna uwezekano Mwenyekiti ili kujinusulu anaweza akataja watu ambao hawakuwepo au akataja ambao alikua na ugomvi nao.. Hawa polisi wetu wa hovyo kweli kweliHawa polisi wetu liniwataanza kutumia akili na sio mabavu kwenye utendaji wao?why wamshikilie Chairman kama hawajamlink na crime scene?tuelewe Kuna Ile sheria ya kumshikilia suspect only for 48hrs na baada ya hapo ni mahakamani au aachiwe, police walitakiwa ndio wapeleleze na sio kumtwisha mzigo huu chairman.Nikiupata urais wa 24 hrs wizara hii nitaiweka Sawa within 4hrs ikiwa ni pamoja na kuivunja na kutengeneza wizara mbili,police na home affairs, na uajiri mpya kwa all homicide detectives na training zao ndani ya Botswana na equipments zote from US.