Geita: Auawa akidaiwa kujaribu kumbaka mwanafunzi

Geita: Auawa akidaiwa kujaribu kumbaka mwanafunzi

Kaka yangu ni mlemavu wa akili (down's syndrome) jumapili alichomwa moto akiwa mzima hadi kufa walidhani ni mwizi ukimuangalia vizuri unamjua kabisa huyu ni tahaira.
Lakini cha ajabu waliofanya tukio ilo wameachiwa huru wapo uraiani licha ya kuwepo ushaidi wa video
Isambaze mitandaoni kwa kuwatag hao mapolisi uenda kelele zikasaidia
 
Kaka yangu ni mlemavu wa akili (down's syndrome) jumapili alichomwa moto akiwa mzima hadi kufa walidhani ni mwizi ukimuangalia vizuri unamjua kabisa huyu ni tahaira.
Lakini cha ajabu waliofanya tukio ilo wameachiwa huru wapo uraiani licha ya kuwepo ushaidi wa video
Duh pole sana mkuu.
 
Sasa kati ya wewe uliyeua na huyu aliyetaka kubaka, wapi ilipo dhambi kuu!! Huu ni utoto tu na huwenda walikubaliana kiutoto na wakakubaliana kuamka mapema
Angepiga kelele???
Wabakaji mnapenda kweli,

Japo sikubaliani na adhabu ya Kifo ila Wabakaji dawa yao ni kuwakata hivyo vidude na kuwaacha waendelee kujenga nchi.
 
Kuna uwezekano Mwenyekiti ili kujinusulu anaweza akataja watu ambao hawakuwepo au akataja ambao alikua na ugomvi nao.. Hawa polisi wetu wa hovyo kweli kweli
Ni kweli mkuu hawa police ni wapumbavu, ni responsibility yao kufanya upelelezi sio issue ya chairman
 
Kashindwa hata kupiga nyeto daa!! So sad,anyways tupo kwenye deployment ya kwenda Ukraine
We are taking back our capital Kyiv.
 
Back
Top Bottom