Isambaze mitandaoni kwa kuwatag hao mapolisi uenda kelele zikasaidiaKaka yangu ni mlemavu wa akili (down's syndrome) jumapili alichomwa moto akiwa mzima hadi kufa walidhani ni mwizi ukimuangalia vizuri unamjua kabisa huyu ni tahaira.
Lakini cha ajabu waliofanya tukio ilo wameachiwa huru wapo uraiani licha ya kuwepo ushaidi wa video
Duh pole sana mkuu.Kaka yangu ni mlemavu wa akili (down's syndrome) jumapili alichomwa moto akiwa mzima hadi kufa walidhani ni mwizi ukimuangalia vizuri unamjua kabisa huyu ni tahaira.
Lakini cha ajabu waliofanya tukio ilo wameachiwa huru wapo uraiani licha ya kuwepo ushaidi wa video
Angepiga kelele???Sasa kati ya wewe uliyeua na huyu aliyetaka kubaka, wapi ilipo dhambi kuu!! Huu ni utoto tu na huwenda walikubaliana kiutoto na wakakubaliana kuamka mapema
Ni kweli mkuu hawa police ni wapumbavu, ni responsibility yao kufanya upelelezi sio issue ya chairmanKuna uwezekano Mwenyekiti ili kujinusulu anaweza akataja watu ambao hawakuwepo au akataja ambao alikua na ugomvi nao.. Hawa polisi wetu wa hovyo kweli kweli
Aaaah wap tumepewa bure tunatoa bureeee bure"tumejaa tele,si angekuja hata kwangu nimpee"
Alisikika mdada ambaye angefuatwa kabla angeweza kukaza
Inategemea ntu na ntuAaaah wap tumepewa bure tunatoa bureeee bure