LGE2024 Geita: CHADEMA wapinga jinsi mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliendeshwa. Wasema kulikuwa na ubaguzi!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Wadau mbalimbali wameeeendelea kutoa maoni Yao baada ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kumalizika

Huko mkoani Geita katika Wilaya ya Nyang'hwale wanachama wa CHADEMA wamejitokeza na kuzungumzia namna ambavyo hawajaridhishwa na mchakato wa Uchaguzi.

Wanachama hao walidai kumekuwa na upendeleo na ubaguzi dhidi ya vyama vya upinzani na kuongeza kuwa wakati wa mchakato wa Uchaguzi, mawakala wa Uchaguzi walikuwa wakiwabagua mawakala wa vyama vya upinzani.


Your browser is not able to display this video.
 
Siyo Geita tu, ni nchi nzima. Nadhani malalamiko ya vyama vya upinzani yanajulikana na visa wanavyofanyiwa vinajulikana.

Nini kifanyike? TUCHAPANE.
 
Wakefie mbali tumewachoka
 
Miafrika ata kuchaguana kwa haki na usawa hatuwezi.Hapo usitegemee maendeleo ya maana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…