Kumbe wamechangiwa na GGML, nikajua wanjenga kwa fedha ipatikanayo toka kwenye mapato ya timu yao.Kampuni ya Geita Gold imetoa TZS 2.5 B kwa ujenzi wa hatua za awali ambao utatumika kwenye mechi zake
Yah mkuu....lkn hawajatangaza kuwa wachangiwe na mashabikiKumbe wamechangiwa na GGML, nikajua wanjenga kwa fedha ipatikanayo toka kwenye mapato ya timu yao.
NB: Hata uwanja wanaotumia sasa (Nyankumbu Girls), ulijengwa kwa ufadhili wa GGML.
Kwani ni deni mkuu?Wahakikishe wanaumaliza
Nimeona huna hoja ila wangefanikiwa kujenga kwa fedha zao hapo ndo ungekuwa na hoja.Yah mkuu....lkn hawajatangaza kuwa wachangiwe na mashabiki
Wasituachie mapagalaKwani ni deni mkuu?
Kweli ni swali la kuuliza hilo? Hivi hiyo timu utalinganisha na Simba na Yanga? Ungefikiria kidogo nadhani usingeuliza hili swaliKlabu ya geita gold sport inaendelea na ujenzi wa uwanja wake ambao utakuwa na uwezo wa kuingiza mashabiki elfu 12
Kampuni ya Geita Gold imetoa TZS 2.5 B kwa ujenzi wa hatua za awali ambao utatumika kwenye mechi ...
Washabiko wanao kwanYah mkuu....lkn hawajatangaza kuwa wachangiwe na mashabiki
Hao mashabiki wenyewe wanao?Yah mkuu....lkn hawajatangaza kuwa wachangiwe na mashabiki
Hawa kima wanahangaika sana na mambo ya Simba, tulipokuwa kwenye mchakato wa kuingi mfumo mpya waliponda sana lakini na wenyewe wameingia huko wako kimya,hata leo uongozi wao wakitangaza kuwa wachangie kujenga uwanya watabana vijambio vyao. Hawa wapuuzi wanakera sana.muwe mnapata muda wa kuficha upumbavu. Simba inatumia fursa ya fanbase,halafu michango ni hiyari na ni mwitikio wa fans na wanachama. au huko kwenu kuna mtu kashikiwa bunduki kuchanga? acha tuchange tunaotaka,wewe piga kimya