Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,952
- 4,416
Mkuu stendi si inajengwa Chato. Chato kuna bilioni 6 ilitengwa kipindi cha #5
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan stendi hujengwa na watu binafsi au serikaliTatizo la Bukoba na Moshi ni special case stendi zao za hovyo sana na sababu kuu wenye vyeo na uwezo serikalini na sekta binafsi hujenga sana mikoa mingine na vijijini kwao Miji yao wala hawahangaiki nayo ndio maana stendi ya Moshi. Mjini na bukoba mjini utafikiri stendi za boda boda
Kahama ilipewa hadhi ya kuwa Manispaa na Shinyanga bado ni mkoa ambao hauna hadhi ya kuwa JIJI na bado nasisitiza tena Shinyanga ni mkoa wa hovyo.Uongo. Kahama iko shinyanga na imepewa hadhi ya jiji la Kahama
Hapana sio kihivo kwamba ni hovyo hapana shinyanga iko vizuri tu tatizo labda kijijini sana huko ndo kuna changamoto! Lakini ukiangalia hata mzunguko wa hela shinyanga hususani kahama hata hiyo moshi yako haifikii kwa hiyo tusiongee kwa mihemko!Kahama ilipewa hadhi ya kuwa Manispaa na Shinyanga bado ni mkoa na bado nasisitiza tena Shinyanga ni mkoa wa hovyo.
Mkuu sijaongelea lolote kuhusu Mkoa wa Moshi kwahiyo umeninukuu vibaya kuhusu Kahama kuwa na mzunguko wa pesa hilo nakubaliana na wewe.Hapana sio kihivo kwamba ni hovyo hapana shinyanga iko vizuri tu tatizo labda kijijini sana huko ndo kuna changamoto! Lakini ukiangalia hata mzunguko wa hela shinyanga hususani kahama hata hiyo moshi yako haifikii kwa hiyo tusiongee kwa mihemko!
Mkoa wa shinyanga na wakazi wake unaweza kuuchukulia poa kutokana na hali ya ujangwa ila nikwambie ni mkoa ambao wakazi wake wako vizur sana kwenye issue hata za biashara!Mkuu sijaongelea lolote kuhusu Mkoa wa Moshi kwahiyo umeninukuu vibaya kuhusu Kahama kuwa na mzunguko wa pesa hilo nakubaliana na wewe.
John alihamishia miradi yote wilayani chato akasahau mkoa wake geita,chato wana bonge la standi japo kuna lala mabasi makubwa mawili tu,moja la mwanza na la bukoba
Sasa lile listendi lote la niniHamna basi inayolala Chato.
Hata ukiwa dar huwezi pata basi la kuja Chato sana sana utapanda bus la takibiir linaishia katoro then unafaulishwe kwenye Coaster kufika Chato.Sasa lile listendi lote la nini
So hakuna route ya chato bukoba,au chato mwanza?Hata ukiwa dar huwezi pata basi la kuja Chato sana sana utapanda bus la takibiir linaishia katoro then unafaulishwe kwenye Coaster kufika Chato.
Route ya dar -bukoba haipiti Chato, Dar- mwanza haipiti Chato. Kuna route ya mabasi ya mwanza -bukoba ambayo haiwezi kulala Chato coz mwanza -bukoba ni almost masa tisa umefika sasa unaanzaje kulala Chato.So hakuna route ya chato bukoba,au chato mwanza?
Kahama ni level nyingine, kuna siku nilienda soko la madini pale kuna wasukuma wana pesa bana acha kabisa ni vile hayapendi makelele na kujionyesha.Hapana sio kihivo kwamba ni hovyo hapana shinyanga iko vizuri tu tatizo labda kijijini sana huko ndo kuna changamoto! Lakini ukiangalia hata mzunguko wa hela shinyanga hususani kahama hata hiyo moshi yako haifikii kwa hiyo tusiongee kwa mihemko!
Chato napajua,bokoba bwanga,katoro,buseresere,geita,sengerema ,bukoba,muleba.point yangu hakuna gari zinaanzia chato kwenda bukoba?au chato to mwanza?Route ya dar -bukoba haipiti Chato, Dar- mwanza haipiti Chato. Kuna route ya mabasi ya mwanza -bukoba ambayo haiwezi kulala Chato coz mwanza -bukoba ni almost masa tisa umefika sasa unaanzaje kulala Chato.
Kitu napenda ni kwamba uchumi wetu tunamiliki wenyewe kwenye kilimo cha mpunga, maduka makubwa na viwanda kwa Kahama. Wamiliki wa migodi midogo, wachimbaji na wauzaji wa madini ni wasukuma kwa asilimia 97. Kahama tunajenga wenyeweMkoa wa shinyanga na wakazi wake unaweza kuuchukulia poa kutokana na hali ya ujangwa ila nikwambie ni mkoa ambao wakazi wake wako vizur sana kwenye issue hata za biashara!
Ndio mkoa umejaza wasomi wajinga type ya meko,kalemaniView attachment 1938411
Geita ndio mkoa unao ongoza kuwa na madini Tanzania.
Lakini pia ndio mkoa wenye Stendi mbaya sijawahi kuona...