Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
[emoji16][emoji16]Matokeo ya mtuhumiwa kushinda anasoma ule uzi wa kula tunda kimasihara ndio huu sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16]Matokeo ya mtuhumiwa kushinda anasoma ule uzi wa kula tunda kimasihara ndio huu sasa.
Naassume ni kweli, je ni rahisi kumvua mtu nguo bila ridhaa yake kwa mkono mmoja?Haiitaji kua na degree ya u-detective. Ebu soma hapa:
Na habar unasema baada ya kupiga kelele wasamalia wema walimkamata kijana. Sasa kwenye ushahid hawa wasamaria wema hawakuwa sehem ya mashahidi?Alafu upande wa mashitaka walikuwa na shahidi mmoja!
Nakubaliana na hili hutokea mara nyingi sana, na ukijifanya komando Yosso hiyo nyama yako ya elfu 30 mliyokula inaweza ikakutokea puani bora umuache apite hivi alafu unapanga plan mpya. Siku akiingia kwenye 18 zako Akiileta unaisugua mpaka anaomba maji na hapewi. teh tehUsanii tu hapo jamaa hatakuwa alizinguliwa hayo madude usipokuwa na akili yanaweza kunywa bia zako na kula alafu yanasepa.
Bwashehe acha hizo ,sekude 30 amekuwa kuku? Jidume la mkoani hapo litakuwa lilitumia dakika 45.Raha ya sekunde 30 inakufanya uende jela miaka 30
Kubaka ni kumuingilia mtu mwanamke kwenye uke wake bila yeye kukubaliana na wewe yaani bila ridhaa yake.Nchi zilizopiga Kasia kimaendeleo hata ukimwingilia mkeo bila ridhaa yake ni kosa la ubakaji.Yaani muhudumu wa Bar, tena miaka 21, kabakwa?
Hapana aisee kwa hapa nakataa. Kutakua na kitu kingine ambacho hatukijui.
Rudi kwenye tafasiri ya kosa la kubaka.Huyo aliyebakwa Utamu aliusikia au hapana? Ukiangalia Umri wao utagundua kuwa ni Watu wazima ( Vijana ) hivyo kuniambia kuwa Mwanamke alibakwa kidogo napatwa na Ukakasi fulani vile. au alimpelekea Moto Buza kwa Mpalange na Kuharibu kabisa Miundombinu ya Kibaiolojia ya huko?
Kisu kinaonesha kwamba mwanamke alitishiwa na hakuridhia hivyo,mtuhumiwa alidhamiria kumuingilia muhusika bila ridhaa yake.Haiitaji kua na degree ya u-detective. Ebu soma hapa: