[emoji23]Wanawakumbusha wajibu [emoji23]
Geita: Aloo afande Maji
Zimamoto: unatokea wapi na nikusaidie nini?
Geita: Im from near you nauliza maji yapo ya kutosha?
Zimamoto: Ahsante kwa kujali kila kitu kipo sawa
Geita: Watoto wamekula nyumbani?
Zimamoto: Ndio
Geita: Nyongeza ya mishahara umepata?
Zimamoto: Ndio
Geita: MMwage oil na mjaze wese hakikisheni na matairi sio kipara huku njia mbovu
Zimamoto: maoni yamechukuliwa na kila kitu kipo sawa
Geita: Msalimie Shemeji
Tiiitiiiitiii