TANZIA Geita: Madiwani wawili wateule wa CCM wafariki dunia

TANZIA Geita: Madiwani wawili wateule wa CCM wafariki dunia

Tukanyage kwa adabu bila kibri ardhi ya Muumba.RIP wahanga wa uchaguzi Bara na Visiwani.
 
Mimi na wewe hatujui tumebakisha muda gani pia
Shukuru Mungu kwa pumzi ya kuweza kutype hapa JF. Walionusurika kufa ni wengi na ni mpango wa Mungu pia
Imani hiyo hiyo ungeionesha kwenye ule uzi wa Lissu aliosema ametishiwa kuuwawa hivyo amejihifadhi kulinda uhai wake basi ningekuona wa maana!Kule mnakejeli na huku mnakuwa na maneno ya busara!

Mnatakiwa mjue matendo yenu na maneno yanazidi kutugawa!
Wacha mimi nimwage nyongo, mbeleni nitatubu na najua mungu ni mwingi wa rehema na atanisamehe!

Kwa hapa niseme tu,sijaguswa na huu msiba!Tena nimesikitika wameenda vidagaa,ngoma ingepanda juu zaidi ingekuwa poa sana!
 
Hongereni wote mnaoshabikia misiba ya wenzenu na kuwaombea wengine wafe mkiwa nyuma ya keyboards. Mbarikiwe sana kwa kuweza kujipa moyo kwamba mna kibali cha kuishi duniani milele huku mkiwaombea wengine wafe.

Wengine tunaamini kwenye neno hili. "Lakini, juu ya siku au saa hiyo, hakuna mtu ajuaye itakuja lini; wala malaika wa mbinguni, wala Mwana; Baba peke yake ndiye ajuaye" Mathayo 24:36
 
Hongereni wote mnaoshabikia misiba ya wenzenu na kuwaombea wengine wafe mkiwa nyuma ya keyboards. Mbarikiwe sana kwa kuweza kujipa moyo kwamba mna kibali cha kuishi duniani milele huku mkiwaombea wengine wafe.

Wengine tunaamini kwenye neno hili. "Lakini, juu ya siku au saa hiyo, hakuna mtu ajuaye itakuja lini; wala malaika wa mbinguni, wala Mwana; Baba peke yake ndiye ajuaye" Mathayo 24:36
Bora sisi tunaoombea misiba ya watesi wetu kuliko hao wanaotumia madaraka yao kukatisha uhai wa wengine!
Wafe tu!
 
Poleni Sana Kwa Msiba
Ccm Wajipange Na NEC Wachukue Madiwani Wengine
Kufanya Uchaguzi Mkuu Ni Kupoteza Cash
 
Hakuna ajuae kama kweli waliiba, hakuna anayejua kama walikufa na dhambi, na hakuna sababu ya kuwahukumu marehemu kwa kuwatakia mabaya

Tujiulize sisi tuko sawa na Mungu kwa kila neno? Na tutaondokaje?
We dada usitafute justification kwa yaliyotokea huko Zanzibar na bara.

Unatonesha vidonda

Ndio maana watu wanafurahi vifo vya ccm kwasababu ni waovu sana
 
Mungu ndio mpangaji wa nani aondoke lini na nani abaki, ila hakuna atakaebakia milele

Pole kwa wote walioguswa na misiba hii

Madiwani wapumzike kwa amani Amina

Hata wale wanaouliwa na wasiojulikana?
 
Hongereni wote mnaoshabikia misiba ya wenzenu na kuwaombea wengine wafe mkiwa nyuma ya keyboards. Mbarikiwe sana kwa kuweza kujipa moyo kwamba mna kibali cha kuishi duniani milele huku mkiwaombea wengine wafe.

Wengine tunaamini kwenye neno hili. "Lakini, juu ya siku au saa hiyo, hakuna mtu ajuaye itakuja lini; wala malaika wa mbinguni, wala Mwana; Baba peke yake ndiye ajuaye" Mathayo 24:36
Tena Burudani mnoo!

Hata ukiondoka wewe kwangu sherehe kubwa.
 
Mbona ushabiki wa kisiasa unawatoa utu kiasi hiki aisee
Kuna tatizo sehemu. Watanzania hawakua hivi. Sasa chama kiandae wengine wa kupita bila kupingwa, hatutaki kuchanganyiwa na wa upande mwingine.
 
Duniani tupo safarini. Tujitahidi kwa kadiri tuwezavyo kutenda haki, kutenda mema maana hatujui siku wala saa.

Tusiwe kama yule tajiri mjinga aliyeiweka mipango yake akaona ipo vema sana, naye akasema nikikamilisha hiki na kile, kitachobakia ni kuponda maisha, Mungu akamwambia, mpumbavu wewe maana usiku wa leo naihitaji Roho yako.

Nyakati hizi za uchaguzi, wagombea wengi walichokuwa wakifikiria ni kufanya kila namna hata kudhulumu haki za wengine, wakijua wakishapita tu, basi sasa ni kuponda maisha. Mungu anatukumbusha kuwa wapumbavu sasa maana hatujui kuwa roho zetu zipo kwenye orodha ya zile zinazotakiwa kurudi kwake.

Tuliobakia, tujitahidi kutenda haki maana hatujui saa wala dakika Bwana atakapotujia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna ajuae kama kweli waliiba, hakuna anayejua kama walikufa na dhambi, na hakuna sababu ya kuwahukumu marehemu kwa kuwatakia mabaya

Tujiulize sisi tuko sawa na Mungu kwa kila neno? Na tutaondokaje?
Wakuziba hizo nafasi nao wapitisheni bila kupingwa ili tusipoteze muda kusumbua watu kupiga kura kwa sababu hamtaki kuchanganyiwa na wa vyama vingine.
 
Back
Top Bottom