TANZIA Geita: Madiwani wawili wateule wa CCM wafariki dunia

Huwa nawashauri watoe ushirikiano kwenye vyombo sahihi ili hayo matukio yafanyiwe kazi.

Wasiwafiche mashahidi wala suluhu sio wakimbilie ubelgiji na kwenda kutoa taarifa BBC, Al Jazeera, DW.... na kwingineko ambako hadi sasa hawajawasaidia chochote
Unajianika ujinga na ukatili ulionao ?
 
Kwa kidhungu inaitwa double D....dabulo deefi.... huwezi kukata rufaa kwa kifo ..tuna tume_ccm,police_ccm n.k contrary hakuna mungu_ccm wasipumzike kwa amani.
 
Hakuna ajuae siku wala saa Mwenyezi Mungu aziweke mahala pema roho zao
Katika kitu ambacho sikiwezi kabisa ni kufurahia kifo cha binadamu mwenzangu
 
Hakuna ajuae siku wala saa Mwenyezi Mungu aziweke mahala pema roho zao
Katika kitu ambacho sikiwezi kabisa ni kufurahia kifo cha binadamu mwenzangu
Siku jiwe akifa nisisherehekee?Kwakweli ninaweza kujizuia kwa muda kama mtu aliyebanwa na cheko halafu akaibana,kadri sekunde zinavyoenda ndio unaanza kuona sura yenyewe inamkatili na hatimaye inaanguka cheko lenyewe!
Kuna watu wanatesa wenzao mpaka inafikia stage unawaombea mabaya,unasema bora wafe tu!

Ndio maana kuna ule wimbo kwamba ,"Idd Amini akifa,mimi siwezi kulia.Nitamtupa kagera awe chakula cha mamba"!

Hujaimba wimbo huo huko shule ya msingi?Mpaka inafikia hapo basi ujue watu wameumizwa sana!
 
Kwani Tundu amekufa nikafurahia???

Huoni kama hao wanaomtishia ni sawa wawekwe hadharani ili washughulikiwe?

Acha kujichanganya utachanganyikiwa bure
Hiyo ndio hali halisi ndio matunda ya chuki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…