The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Yakishindwa kulana yenyewe kwa yenyewe yataanza kufumuana marindaWasalaam!! Halmashauri kuu ya CCM mkoa wa Geita imewafukuza uachama makada 50 baada ya kuchangia kupungua kura za Rais Uchaguzi mkuu 2020. Hayo yamesemwa na bwana Masele ambaye alisema waliojitokeza kupiga kura ni 56,000 badala ya 100,000 jambo ambalo lilichangiwa na fitna za makada hao...
Hahahaaaa........!Kwa hiyo bwana "Masele" ni bavicha? Waambie wakurudishie ubongo wako.
kuna mbege na kisusio manka!Hivi humo kichwani zimo kweli au kuna wanzuki tu?
Kumbe mtu wao hakuchaguliwa eeWanatuhumiwa kuhujumu chama na kupelekea kura za Urais kupungua wakati wa uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020
Siyo FAKE NEWS ?Wanatuhumiwa kuhujumu chama na kupelekea kura za Urais kupungua wakati wa uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020
Kwa mujibu wa taarifa kutoka CCM Viongozi hao 50 wanatuhumiwa kuhujumu chama hicho wakati wa uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020.
Hujuma hizo zilipelekea kupungua kwa idadi ya kura alizopata Mgombea Urais wa Chama hicho baada ya matokeo kutangazwa
MCL
Nguruwe akikosa chakula hula watoto wake mwenyeweUchaguzi umekwisha Bavicha chapeni kazi!
Wewe ni muongo nguruwe ni wastaarabu hawafanyi hivyo. Ngamia ndio wakikosa chakula hula watoto wao.Nguruwe akikosa chakula hula watoto wake mwenyewe
Mabwege yanatumia id tu usikute saa hizi ni Magonjwamtabuka ndilo linabofyaHivi humo kichwani zimo kweli au kuna wanzuki tu?
Uchaguzi umekwisha Bavicha chapeni kazi!
Hiyo ni kawaida Kwa wachawi wakikaa pamojaCcm bhana. Kura za kwenye mabegi hazikuwatosha hadi muanze kufukuzana? Mshahara wa dhambi ni mauti. Muda si mrefu mtaanza kuuana kabisa.
Manka mafii yako?Hahahaaaa........!
kuna mbege na kisusio manka!
Wasalaam!! Halmashauri kuu ya CCM mkoa wa Geita imewafukuza uachama makada 50 baada ya kuchangia kupungua kura za Rais Uchaguzi mkuu 2020. Hayo yamesemwa na bwana Masele ambaye alisema waliojitokeza kupiga kura ni 56,000 badala ya 100,000 jambo ambalo lilichangiwa na fitna za makada hao.
Habari zaidi soma Mwananchi online.
Nyoka wanatabia ya kula mijusi ila wakikosa mijusi wanakulana wao kwa wao. Usiku mwema
Shetani hajawahi kuwa na rafikiWasalaam!! Halmashauri kuu ya CCM mkoa wa Geita imewafukuza uachama makada 50 baada ya kuchangia kupungua kura za Rais Uchaguzi mkuu 2020. Hayo yamesemwa na bwana Masele ambaye alisema waliojitokeza kupiga kura ni 56,000 badala ya 100,000 jambo ambalo lilichangiwa na fitna za makada hao.
Habari zaidi soma Mwananchi online.
Nyoka wanatabia ya kula mijusi ila wakikosa mijusi wanakulana wao kwa wao. Usiku mwema
Mkuu Tunayo matokeo halisi ya Geita ni Aibu!Issue sio kupungua, bali ni Magu kushindwa huko kabisa.