Geita: Mayanga Contracts LTD, imeshindwa kumaliza ujenzi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa baada ya Mwenye Kampuni kufa?

Geita: Mayanga Contracts LTD, imeshindwa kumaliza ujenzi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa baada ya Mwenye Kampuni kufa?

Du. Halafu unajua kufariki kwake ilikuwa ni kama ghafla tu. Nasikia japo alikuwa anaumwa lakini hakuna aliyetegemea hali ingebadika ghafla kama ilivyotokea. Kabla alikuwa anaumwa lakini siyo ile kuumwa kwa kutisha lakini ikatokea kama ghafla akapoteza fahamu na ndiyo hakuzinduka tena. Hivyo nadhani vitu vingi vilitakiwa kuwa siri vilikuwa vipo ''open'' kutokana na kukosa muda wa kurekibisha.
Huwa tunaita hamaki, ushawahi kukutwa na moto ndani weye? Haha hata kama ulikua unafuga lijoka ndani hutapata muda wa kulificha majirani wasione.

Magufuli alikua fisadi wa viwango vyake zaidi ya kikwete, ndio maana alipenda sana giza.
 
Jpm leo akifufuka atajisahihisha namna ya kuishi na viongozi wenzake vizuri. Kila mmoja ataungana na mimi namna bora jpm alivyopambana na vita vya rushwa na ufisadi ila kuna points of miscalculation aliziifanya.
Watu wa ajabu sana nyinyi!! Yaani unaota JPM afufuke? What for? Nani anataka ile TAKATAKA? Anyway muache afufuke ila Mimi najitolea NITAMUUA tena arudi kuzimu
 
View attachment 2317999
Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martin Shigella amesikitishwa na kitendo cha Mkandarasi MAYANGA CONTRACT LTD Kampuni ya ujenzi iliyopewa Tenda ya kujenga Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita kushindwa kukamilisha kwa wakati ofisi hiyo.
View attachment 2318004
Naye Eng.Makoye Luhya Kwaniaba ya Mkandarasi Mayanga Contractors Amesema Anaishukuru Serikali kwa Kuendelea Kuwalipa Kutokana na Kazi Inayoendelea na Kwamba Anaahidi Kukamilisha Asilimia 10% Iliyobaki Ndani ya Muda Mfupi Kwakuwa Awali Changamoto Ilikuwa ni Upatikanaji wa Vifaa

MY TAKE:

Sasa tutafanyaje? Ukizingatia tenda tulipewa tu bila kuomba🤔
View attachment 2317990
Magufuli alikuwa fisadi wa kutisha aliyejivika uzalendo fake ili atuibie vizuri. Wajinga wenzie wallimwamini na kumsifia sana
 
Geita ilikuwa inageuzwa dubai mnxyiiiiiuuuu!!! kuna muda bora mtu apishe...
 
Back
Top Bottom