A
Anonymous
Guest
Mkandarasi wa huduma ya umeme REA mtaa wa Nyantorotoro A Geita Msikitini kwa juu ametufanyia hujuma sana wananchi. Nguzo za mradi wa umeme zimewekwa kwa kujuana sana kinyume na ramani ya mradi ilivyokuwa kabla ya yeye hajaanza kazi
Nguzo zilikuwa zinauzwa kwa watu bila kutoa hongo (rushwa) huwekewi nguzo, badala yake wananchi wengi wamekosa nguzo za umeme na mradi uko mwishoni
Idadi ya waliopewa nguzo hawafiki hata watu 20 lakini walionyimwa nguzo kwa sababu hawakutoa rushwa ni zaidi ya watu 100, hivyo tunaiomba Serikali iingilie suala hili kwani limeenda kinyume na utaratibu
Nguzo zilikuwa zinauzwa kwa watu bila kutoa hongo (rushwa) huwekewi nguzo, badala yake wananchi wengi wamekosa nguzo za umeme na mradi uko mwishoni
Idadi ya waliopewa nguzo hawafiki hata watu 20 lakini walionyimwa nguzo kwa sababu hawakutoa rushwa ni zaidi ya watu 100, hivyo tunaiomba Serikali iingilie suala hili kwani limeenda kinyume na utaratibu