GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
-
- #41
Hivi tatizo ni nini lakini? Uafrika?Unaposhangaa ya mkoa wa Geita unapaswa ushangae pia na ya mkoa wa Shinyanga wale Wana Almasi na Dhahabu pia lkn ni maskini wa kutupwa.
Ishatokea mara nyingi tu. Si ajabu mtu kuanza kuchimba shimo la choo lakini mpango ukabdailika baada ya muda mfupi, shimo lililotarajiwa liwe choo linakuwwa mgodi.Vumbi jepesi linaingia hadi kwenye Koo dhahabu unaweza kuwa unachimba choo ukakutana na mkanda ila geita imebarikiwa aisee
Viongozi bado nasema mikataba mingi haikulenga kuinufaisha geita na hii huenda kwa mikoa mingine pia yenye rasilimaliMimi ni mpitaji Geita, lakini kwa jinsi palivyo, nahisi kuwahurumia wenyeji wake na kuwakasirikia viongozi wake.
Geita inastahili kuwa duni kama ilivyo sasa, kweli?
Geita ni ya kuzidiwa na Kilimanjaro kimaendeleo, kweli?
Tatizo ni wananchi au viongozi?
Siyo haki kabisa.
Mwanzo kabisa geita iliijenga zaidi mwanza labda kwa Sasa itaanza kujenga Geita yenyewe kuzidi dar sio rahisi.Kumbe ni wa Geita! Tuambie, kwa nini Geita, mkoa mzuri "mtajiri" uliojaliwa utajiri siyo tajiri?
Kwa nini Geita si tajiri kuizidi mikoa mingi Tanzania?
Sidhani kama nitakosea nikisema kwamba kwa utajiri uliopo Geita, ungeweza hata kuwa tajiri kuizidi Dar Es Salaam. Nimefikiri tu.
Kama ingelikuwa ni uamuzi wangu, ningeagiza asilimia sitini mpaka themanini ya mapato iwe inabaki kwenye mkoa husika kwa ajili ya maendeleo yake.Viongozi bado nasema mikataba mingi haikulenga kuinufaisha geita na hii huenda kwa mikoa mingine pia yenye rasilimali
Nadhani angalau sehemu kubwa ya Pato ingerudi kuboresha miundombinu ya mahali husika.
Siyo rahisi kuizidi Dar, lakini inaweza kuikaribia.Mwanzo kabisa geita iliijenga zaidi mwanza labda kwa Sasa itaanza kujenga Geita yenyewe kuzidi dar sio rahisi.
Kwa mfano tu, Geita ikiachwa ijiendeshe yenyewe bila kuingiliwa na Serikali kuu, kwamba iwe kama kanchi ndani ya nchi ya Tanzania, kama Vatican ilivyo nchi ndani ya Italy, Geita ingeendelea kuwa duni kama ulivyo sasa?Mwanzo kabisa geita iliijenga zaidi mwanza labda kwa Sasa itaanza kujenga Geita yenyewe kuzidi dar sio rahisi.
Hapana lakini ili kufanikisha Hilo wangehitaji rasilimali watu ambayo ndio nyenzo muhimu sana kwa maendeleo ya mjiKwa mfano tu, Geita ikiachwa ijiendeshe yenyewe bila kuingiliwa na Serikali kuu, kwamba iwe kama kanchi ndani ya nchi ya Tanzania, kama Vatican ilivyo nchi ndani ya Italy, Geita ingeendelea kuwa duni kama ulivyo sasa?
Ila sometimes Watanzania...Hapana lakini ili kufanikisha Hilo wangehitaji rasilimali watu ambayo ndio nyenzo muhimu sana kwa maendeleo ya mji
Watu ambao watawekeza ndani ya mkoa na watasimamia mapato kwa usahihi kwa mfano Leo TU nimeona hesabu za ndani zimetiliwa Mashaka na mara kadhaa wamekuwa wakipata hati chafu mwaka kama sikosei 2018 Nyang'hwale zililiwa zaidi ya bilioni 3 hela za miradi Sasa hii nayo ni shida ambayo hata mkiachwa wenyewe hamtaendelea
Hiyo ni sababu mojawapo inayonifanya niichukie sera ya ujamaa. Aliyetokwa na jasho anaweza asikifaidi ipasavyo alichokitolea jasho huku asiyejia jasho akineemeka na vya mvuja jasho..Mkuu mikoa ya bara inasaidia kuijenga dar. Utaidharau Geita Leo lakini kutokana na mifumo yetu,kinachopatikana kinaingia serikali kuu kwenda kuijenga dar na Dodoma. Tukisema kila mkoa ujitegemee, ndani ya mwaka geita utaufuta huu Uzi.
Ahsante nakubaliana na wewe serikali majimbo ndio jibu haiwezekani Geita expolrts zahabu ni Usd bilioni 3 kwa maka yet hawana hata stendi ya basi ya kuelewekaKama ingelikuwa ni uamuzi wangu, ningeagiza asilimia sitini mpaka themanini ya mapato iwe inabaki kwenye mkoa husika kwa ajili ya maendeleo yake.
Iweje usaidie kulisha watoto wa jirani yako huku familia yako inalala njaa?
Naamini, hela ya Geita imesaidia kujenga flyover Dar Es Salaam.
Naamini, hala ya Geita inetumika kulijenga jiji la Dodoma.
Hawana stendi!Ahsante nakubaliana na wewe serikali majimbo ndio jibu haiwezekani Geita expolrts zahabu ni Usd bilioni 3 kwa maka yet hawana hata stendi ya basi ya kueleweka
Huwezi Ku control hawa wachimbaji wadogo.. Kenya inafaidika Kwa ulanguzi lakin haipati hasara ya mashimo..madini yakiishaMkuu, kuna hoja hapo juu kuwa Kenya inanufaika zaidi na Tanzanite kuliko wenyewe. Kama ndivyo, Kenya inanufaika kupitia wachimbaji wakubwa au wadogo?
Kama ni kweli, kwa nini iwe Kenya na siyo Tanzania au Manyara au Arusha?
Kenya inafaidika kwa vile kwa miaka mingi walikuwa wananunua kwa kimagendo, na wale wafanyabiashara wao wakitaka kusafirisha wanalipa kodi kwenye serikali yao.Mkuu, kuna hoja hapo juu kuwa Kenya inanufaika zaidi na Tanzanite kuliko wenyewe. Kama ndivyo, Kenya inanufaika kupitia wachimbaji wakubwa au wadogo?
Kama ni kweli, kwa nini iwe Kenya na siyo Tanzania au Manyara au Arusha?
Nguvu ya elimu Ina umuhimu pale elimu ikitumika.Kwa nini Geita mkoa "mtajiri" siyo tajiri?
Ni taarifa za kweli mkuu mpka leo India ndiyo muuzaji no 1 wa Tanzanite akifuatiwa na KenyaNasikia, Kenya ilishawahi kusifiwa kwa kusafieisha TANZANITE.
Inasemekana, South Africa walishawahi kupewa tuzo kwa kuuza TANZANITE.
Ajabu, nchi zote hizo mbili hazina "shamba" la Tanzanite.
Walizitoa wapi?
Ila nilisikia tu, sina uhakika kama ni taarifa ya kweli au ni porojo.
Palishaanza kubadilika. Labda angeendelea kwa miaka mingine mitano, Geita ingekuwa Geita kweli.ila Mbona Mwendazake alijitahidi kukupambania hapakupanda kidogo ?
Naomba usiseme hivyo mkuu! Inaumiza sana hisia za wazalendo halisi.Ni taarifa za kweli mkuu mpka leo India ndiyo muuzaji no 1 wa Tanzanite akifuatiwa na Kenya
Ingia kwenye website za masoko ya dunia ipo very openNaomba usiseme hivyo mkuu! Inaumiza sana hisia za wazalendo halisi.