Geita: Mti ulioanguka miezi mitano iliyopita wainuka na kuanza maisha tena

Geita: Mti ulioanguka miezi mitano iliyopita wainuka na kuanza maisha tena

Waandishi wa kuokoteza.
Huo mti ulianguka sababu ya uzito,wakaukata kioande kikubwa uzito ukapungua.
Mizizi ilikuwa hai ilikuwa inauvuta mti (tension force) urudi sawa sawa kuweka balance sababu haijakatika.
Hiyo hutokea Sana hakuna maajabu au muujiza.
 
Mti mkubwa ulioangushwa na upepo miezi mitano iliyopita umewashangaza watu katika wilaya ya Mbogwe mkoani Geita baada ya kuamka wenyewe na kuanza maisha yake kama kawaida.

Tukio hilo la kusitaajabisha limetokea katika Kata ya Nanda iliyopo wilayani Mbogwe mkoani Geita, baada ya mvua kubwa kunyesha usiku EATV imefika eneo la tukio na kuzungumza na wanafamilia wanaomiliki mti huo wanasimulia tukio lilivyokuwa.

"Niliamka asubuhi watoto wanasema mti umesimama nikasema kweli nikavaa haraka haraka na mimi kutoka nje nikaona mti umesimama kweli," amesema Samwel Somi, mmiliki wa mti.

"Usiku huo kulinyesha mvua kubwa yenye upepo hatukujua sababu ni nini kuamka asubuhi tunaona mti umeamka kama unavyoona na tulivyokuwa tumeukata matawi sasa unaanza kuchipuka tena, " ameongeza mmoja wa wanafamilia hao.

Kwa upande wao wananchi wa Kijiji hicho wanasema ni mara yao kwanza tukio kama hilo kutokea katika eneo lao.

"Mimi hili tukio nimelisikia ila mimi nilishuhudia kuna kipindi mvua ilinyesha mti huu ukaanguka baada ya siku nikasikia ule mti umeamka mmmh nikasema si waliukata eeh waliukata matawi lakini umeinuka na umeanza kuchipuka tena," amesema jirani.

Diwani wa Kata ya Nanda Matius Lugoda akizungumza na EATV amewaomba wananchi kuwa watulivu na kuacha kuusisha tukio hilo na imani za kishirikina.

#EaView attachment 2779962
Ngoja tutakwenda kule kufanya utafiti tujue kila kitu na kuwajuza
 
Mti mkubwa ulioangushwa na upepo miezi mitano iliyopita umewashangaza watu katika wilaya ya Mbogwe mkoani Geita baada ya kuamka wenyewe na kuanza maisha yake kama kawaida.

Tukio hilo la kusitaajabisha limetokea katika Kata ya Nanda iliyopo wilayani Mbogwe mkoani Geita, baada ya mvua kubwa kunyesha usiku EATV imefika eneo la tukio na kuzungumza na wanafamilia wanaomiliki mti huo wanasimulia tukio lilivyokuwa.

"Niliamka asubuhi watoto wanasema mti umesimama nikasema kweli nikavaa haraka haraka na mimi kutoka nje nikaona mti umesimama kweli," amesema Samwel Somi, mmiliki wa mti.

"Usiku huo kulinyesha mvua kubwa yenye upepo hatukujua sababu ni nini kuamka asubuhi tunaona mti umeamka kama unavyoona na tulivyokuwa tumeukata matawi sasa unaanza kuchipuka tena, " ameongeza mmoja wa wanafamilia hao.

Kwa upande wao wananchi wa Kijiji hicho wanasema ni mara yao kwanza tukio kama hilo kutokea katika eneo lao.

"Mimi hili tukio nimelisikia ila mimi nilishuhudia kuna kipindi mvua ilinyesha mti huu ukaanguka baada ya siku nikasikia ule mti umeamka mmmh nikasema si waliukata eeh waliukata matawi lakini umeinuka na umeanza kuchipuka tena," amesema jirani.

Diwani wa Kata ya Nanda Matius Lugoda akizungumza na EATV amewaomba wananchi kuwa watulivu na kuacha kuusisha tukio hilo na imani za kishirikina.

#EaView attachment 2779962
Uhengani huko kila kitu kinawezekana.
 
Mimi siyo msoma nyota lakini...
Huu mti ulikuwa unatabiria mambo makubwa. Muda wake wa kuanguka na muda wake wa kusimama tena unaendana kabisa na sintofahamu tuliyoipitia kwa kazia ya Tanganyika na bandari zake kupelekwa utumwani Uarabuni. Mti umesimama tena maana yake mazeli ameachana na mpango huo hivyo sasa nchi yetu itachipua tena.
Kama mnabisha mwambieni arudishe tena ule mkataba muone kama mti hautalala tena 🙂🙂

Nawakumbusha tu kuwa mandamano ni tar 9/11. Ukisoma vibaya inakuwa sept 11.
Kumbe hii kitu inaitwa 'mental case/iliness' ipo kweli!!!!!
 
Picha ya ulivokua umeanguka iko wap, zaidi ya hapo ni story za kubumba watu wanakimbizana na trending news, shame on EATV journalism gan bila vithibitisho.
Yani Kuna vitu vya ajabu....

Mti mizizi haijakatwa..unachipua...

Alafu watu wajingajnga wataenda pigwa pesa hapo..
 
Mti mkubwa ulioangushwa na upepo miezi mitano iliyopita umewashangaza watu katika wilaya ya Mbogwe mkoani Geita baada ya kuamka wenyewe na kuanza maisha yake kama kawaida.

Tukio hilo la kusitaajabisha limetokea katika Kata ya Nanda iliyopo wilayani Mbogwe mkoani Geita, baada ya mvua kubwa kunyesha usiku EATV imefika eneo la tukio na kuzungumza na wanafamilia wanaomiliki mti huo wanasimulia tukio lilivyokuwa.

"Niliamka asubuhi watoto wanasema mti umesimama nikasema kweli nikavaa haraka haraka na mimi kutoka nje nikaona mti umesimama kweli," amesema Samwel Somi, mmiliki wa mti.

"Usiku huo kulinyesha mvua kubwa yenye upepo hatukujua sababu ni nini kuamka asubuhi tunaona mti umeamka kama unavyoona na tulivyokuwa tumeukata matawi sasa unaanza kuchipuka tena, " ameongeza mmoja wa wanafamilia hao.

Kwa upande wao wananchi wa Kijiji hicho wanasema ni mara yao kwanza tukio kama hilo kutokea katika eneo lao.

"Mimi hili tukio nimelisikia ila mimi nilishuhudia kuna kipindi mvua ilinyesha mti huu ukaanguka baada ya siku nikasikia ule mti umeamka mmmh nikasema si waliukata eeh waliukata matawi lakini umeinuka na umeanza kuchipuka tena," amesema jirani.

Diwani wa Kata ya Nanda Matius Lugoda akizungumza na EATV amewaomba wananchi kuwa watulivu na kuacha kuusisha tukio hilo na imani za kishirikina.

#EaView attachment 2779962
Sayansi itahusika, ila WABONGO watalazimisha UCHAWI, NGUVU ZA GIZA, SIJUWI MAZINGAOMBWE NA NINI NA NINI!
Wacha tufe maskini na imani hizo...
 
Huo mti ulipoanguka mizizi mingi ikiwemo mzizi mkuu haikung'oka ardhini so iliendelea kupeleka maji+chakula kama kawaida na kuchipua.

Sasa kitendo cha kuukata matawi kuliufanya mti kuwa mwepesi na ile bending/inclination angle kuongezeka.
Hivyo upepo mkali ulipovuma kutokea uelekeo wa mti ulipoinamia ikawa kama support ya kuunyanyua tena na ulipofika straight90° uzito ukabalance kotekote ndo maana ukasimama wima.
Hakuna cha maajab wala viashiria vya ushirikina hapo.
 
Back
Top Bottom