mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,309
- 4,798
Hii kanda inaamini sana uchawi kuliko kanda nyingine yoyote Tz.Hivi kwanini haya matukio yanatokea zaidi kanda ya ziwa?
Hawa jamaa wanaendekeza na kuuamini sana ushirikina. Mauaji ya vikongwe, wao! mauaji ya fisi, wao! mauji ya walemavu wa ngozi, wao! Na sasa wamehamia kwa watoto!Hivi kwanini haya matukio yanatokea zaidi kanda ya ziwa?
Maisha magumu watu wanegeuka vibwengo na macannibal , wanahunt wenzao kutumia katika ushirikinaMwanafunzi wa darasa la saba katika shule ya msingi Buhalahala iliyopo halmashauri ya mji wa Geita, Johnson Thomas amekutwa amefariki pembeni ya mto siku sita baada ya kupotea, huku mwili wake ukiwa umetobolewa jicho na kusagwa unyayo.
View attachment 2268629
Hapo ndo utagundua Mwanadamu hatoishi kwa mkate tu.Imagine wazazi wake hali waliyonayo sasa hivi. So sad.