Geita: Mwanafunzi aliyepotea akutwa amefariki dunia pembeni ya mto huku jicho likiwa limetobolewa na nyayo kusagwa

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Mwanafunzi wa darasa la saba katika shule ya msingi Buhalahala iliyopo halmashauri ya mji wa Geita, Johnson Thomas amekutwa amefariki pembeni ya mto siku sita baada ya kupotea, huku mwili wake ukiwa umetobolewa jicho na kusagwa unyayo.

 
Dhulma yeyote huja na matokeo mabaya mara 2 zaidi ya kilichofanyika
 
Hivi kwanini haya matukio yanatokea zaidi kanda ya ziwa?
Hawa jamaa wanaendekeza na kuuamini sana ushirikina. Mauaji ya vikongwe, wao! mauaji ya fisi, wao! mauji ya walemavu wa ngozi, wao! Na sasa wamehamia kwa watoto!
 
Mambo ya kishetani kabisa, walaaniwe waliotenda huu ukatili,
Pole kwa familia
 
Maisha magumu watu wanegeuka vibwengo na macannibal , wanahunt wenzao kutumia katika ushirikina
 
Membe alisema hatutasikia tena watu kuokotwa kwenye mito,

Sasa haya matukio yanatokea nchi gani?
 
Hivi Geita si ndio walikuwa wanawauwa wazee wenye macho mekundu...!
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
RIP kaka mzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…