Huko Geita majuzi binti kajiua kisa kuachikaachika na wanaume, leo mwingine kajinyonga kwakuwa ameonekana ana virusi na sasa mtu ameiba mtoto, je mwenye mtoto alikuwa wapiDaah aiseee
Huko Geita majuzi binti kajiua kisa kuachikaachika na wanaume, leo mwingine kajinyonga kwakuwa ameonekana ana virusi na sasa mtu ameiba mtoto, je mwenye mtoto alikuwa wapi
Mwingine kajinyonga gestiHuko Geita majuzi binti kajiua kisa kuachikaachika na wanaume, leo mwingine kajinyonga kwakuwa ameonekana ana virusi na sasa mtu ameiba mtoto, je mwenye mtoto alikuwa wapi
Kamuiba hospital mara tuu baada ya kuzaliwa, mama mtoto alikua hoi.Huko Geita majuzi binti kajiua kisa kuachikaachika na wanaume, leo mwingine kajinyonga kwakuwa ameonekana ana virusi na sasa mtu ameiba mtoto, je mwenye mtoto alikuwa wapi
Wengine wanaitafuta ndoa kwa mbinde,wengine wanatoka kwenye ndoa...Jeshi la Polisi mkoani Geita linamshikilia Mariamu Samweli mkazi wa Katoro wilayani Geita kwa tuhuma za kuiba mtoto wa jirani yake aliyejulikana kwa jina la Pendo Adrian mwenye umri wa miezi mitatu kisha kutokomea naye ili kuinusuru ndao yake baada ya kuishi miaka mingi bila kupata mtoto.
Hizi ni kesi mbili tofauti hata majina ya wezi ni tofauti na watoto ni wa kike na kiume eroo.Kamuiba hospital mara tuu baada ya kuzaliwa, mama mtoto alikua hoi.
Ni mama aliekua anamsaidi ndio inasemakana alimchukua
Huyo mtoto amesharudishwa kwa wazazi wake? Pia kwanini asingeenda kuadopt kisheria hadi aibe?Jeshi la Polisi mkoani Geita linamshikilia Mariamu Samweli mkazi wa Katoro wilayani Geita kwa tuhuma za kuiba mtoto wa jirani yake aliyejulikana kwa jina la Pendo Adrian mwenye umri wa miezi mitatu kisha kutokomea naye ili kuinusuru ndao yake baada ya kuishi miaka mingi bila kupata mtoto.
Huko si ndo machief wamejaaGeita kuna nini, leo mtoto wa miaka 14 kajinyonga kisa baiskeli ya kwenda shule imeharibika
Mtoto wa miezi mitatu? Mara baada ya kuzaliwa?Kamuiba hospital mara tuu baada ya kuzaliwa, mama mtoto alikua hoi.
Ni mama aliekua anamsaidi ndio inasemakana alimchukua