Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ndiyo wasukuma geke! Uhala kinee bhabhaJeshi la Polisi Mkoani Geita linamshikilia Mariamu Samuel ( 21) Mkazi wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Katoro Wilayani Geita kwa tuhuma za kumuiba Mtoto Mdogo wa miezi mitatu katika Kijiji cha Marerani Kata ya Ludete Mkoani Geita.
View attachment 2125082
Jeshi la Polisi Mkoani Geita linamshikilia Mariamu Samuel ( 21) Mkazi wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Katoro Wilayani Geita kwa tuhuma za kumuiba Mtoto Mdogo wa miezi mitatu katika Kijiji cha Marerani Kata ya Ludete Mkoani Geita.
View attachment 2125082
Acha ukabilaHao ndiyo wasukuma geke! Uhala kinee bhabha
Geita inahitaji maombi sn
Poleni snTuliomba wakatuletea jiwe limelala kutoka dar
Kweli asee ni aibu snMsukuma jitokeze utueleze tatizo ni nini watu kujinyonga wenye hasira hizo walikuwa wahehe imekuwaje huko kwenu
Hii BhaghoshaHao ndiyo wasukuma geke! Uhala kinee bhabha
HaaKweli asee ni aibu sn
Dr KashekuMsukuma jitokeze utueleze tatizo ni nini watu kujinyonga wenye hasira hizo walikuwa wahehe imekuwaje huko kwenu
Mtu kujinyonga sio aibu anatafta amani ya kudumu.Kweli asee ni aibu sn
balaa na nusuHaa
Laana Ile
Laana tupuMtu kujinyonga sio aibu anatafta amani ya kudumu.
Juzi tu mis America amejinyonga.
Naona wanamtolea kafara bedui na hata thread za bedui haziishi, hawaamini kashasepa wao wanatoa makafara tu.Geita toka dikteta afe wamekuwa na mambo ya ajabu ajabu sn