Geita: Polisi wadaiwa kuua binti kwa risasi

Geita: Polisi wadaiwa kuua binti kwa risasi

Walenga shabaa wa Policcm ni sheedah angalia ya Sativa, Lissu na hawa mabinti wawili yule wa Kinondoni kwenye msafara wa Chadema na huyu wa Geita.
 
Mama Mzazi wa Mtoto Theresia John (18), Mwanafunzi wa kidato cha nne Shule ya Sekondari Lulembela Mkoani Geita ambaye ni kati ya Watu wawili waliofariki kwenye vurugu za jana Kijijini hapo, amesema Mtoto wake aliuawa kwa risasi iliyofyatuliwa na Polisi wakati wakiwatawanya Watu.

Akiongea na AyoTV_ ambayo imefika nyumbani kwa Wazazi wa Theresia kupata undani wa kifo hicho, Mama Mzazi wa Mtoto huyo amesema wakati tukio linatokea Mwanae alikuwa ndani ya nyumba akiwa anachungulia dirishani ndipo risasi iliyofyatuliwa na Polisi ikapita dirishani na kumpiga sehemu za kifuani na akafariki.

“Mwanangu alikuwa amekaa chumbani kwake kitandani (kabla ya kuchungulia dirishani), Mimi nikiwa sebuleni, baada ya vurugu Mwanangu akaja analia huku anavuja damu nikamwangalia nikaona kifua kimetoboka”
Mwanangu alikuwa amekaa chumbani kwake kitandani (kabla ya kuchungulia dirishani), Mimi nikiwa sebuleni, baada ya vurugu Mwanangu akaja analia huku anavuja damu nikamwangalia nikaona kifua kimetoboka”🥺😭
 
Mama Mzazi wa Mtoto Theresia John (18), Mwanafunzi wa kidato cha nne Shule ya Sekondari Lulembela Mkoani Geita ambaye ni kati ya Watu wawili waliofariki kwenye vurugu za jana Kijijini hapo, amesema Mtoto wake aliuawa kwa risasi iliyofyatuliwa na Polisi wakati wakiwatawanya Watu.

Akiongea na AyoTV_ ambayo imefika nyumbani kwa Wazazi wa Theresia kupata undani wa kifo hicho, Mama Mzazi wa Mtoto huyo amesema wakati tukio linatokea Mwanae alikuwa ndani ya nyumba akiwa anachungulia dirishani ndipo risasi iliyofyatuliwa na Polisi ikapita dirishani na kumpiga sehemu za kifuani na akafariki.

“Mwanangu alikuwa amekaa chumbani kwake kitandani (kabla ya kuchungulia dirishani), Mimi nikiwa sebuleni, baada ya vurugu Mwanangu akaja analia huku anavuja damu nikamwangalia nikaona kifua kimetoboka”
Mwanangu alikuwa amekaa chumbani kwake kitandani (kabla ya kuchungulia dirishani), Mimi nikiwa sebuleni, baada ya vurugu Mwanangu akaja analia huku anavuja damu nikamwangalia nikaona kifua kimetoboka”

Nimejikuta natafakari mengi sana
 
Mama Mzazi wa Mtoto Theresia John (18), Mwanafunzi wa kidato cha nne Shule ya Sekondari Lulembela Mkoani Geita ambaye ni kati ya Watu wawili waliofariki kwenye vurugu za jana Kijijini hapo, amesema Mtoto wake aliuawa kwa risasi iliyofyatuliwa na Polisi wakati wakiwatawanya Watu.

Akiongea na AyoTV_ ambayo imefika nyumbani kwa Wazazi wa Theresia kupata undani wa kifo hicho, Mama Mzazi wa Mtoto huyo amesema wakati tukio linatokea Mwanae alikuwa ndani ya nyumba akiwa anachungulia dirishani ndipo risasi iliyofyatuliwa na Polisi ikapita dirishani na kumpiga sehemu za kifuani na akafariki.

Soma Pia: GEITA: Wananchi wavamia kituo Cha Polisi, wawili wauawa

“Mwanangu alikuwa amekaa chumbani kwake kitandani (kabla ya kuchungulia dirishani), Mimi nikiwa sebuleni, baada ya vurugu Mwanangu akaja analia huku anavuja damu nikamwangalia nikaona kifua kimetoboka”
tehteh nawaza wale wanaosema wao wakaw kimya wao wakae ndani na wala wasikemee.binti wa watu risasi imemfata ndani kabisa
 
Back
Top Bottom