Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanangu alikuwa amekaa chumbani kwake kitandani (kabla ya kuchungulia dirishani), Mimi nikiwa sebuleni, baada ya vurugu Mwanangu akaja analia huku anavuja damu nikamwangalia nikaona kifua kimetoboka”🥺😭Mama Mzazi wa Mtoto Theresia John (18), Mwanafunzi wa kidato cha nne Shule ya Sekondari Lulembela Mkoani Geita ambaye ni kati ya Watu wawili waliofariki kwenye vurugu za jana Kijijini hapo, amesema Mtoto wake aliuawa kwa risasi iliyofyatuliwa na Polisi wakati wakiwatawanya Watu.
Akiongea na AyoTV_ ambayo imefika nyumbani kwa Wazazi wa Theresia kupata undani wa kifo hicho, Mama Mzazi wa Mtoto huyo amesema wakati tukio linatokea Mwanae alikuwa ndani ya nyumba akiwa anachungulia dirishani ndipo risasi iliyofyatuliwa na Polisi ikapita dirishani na kumpiga sehemu za kifuani na akafariki.
“Mwanangu alikuwa amekaa chumbani kwake kitandani (kabla ya kuchungulia dirishani), Mimi nikiwa sebuleni, baada ya vurugu Mwanangu akaja analia huku anavuja damu nikamwangalia nikaona kifua kimetoboka”
Mwanangu alikuwa amekaa chumbani kwake kitandani (kabla ya kuchungulia dirishani), Mimi nikiwa sebuleni, baada ya vurugu Mwanangu akaja analia huku anavuja damu nikamwangalia nikaona kifua kimetoboka”Mama Mzazi wa Mtoto Theresia John (18), Mwanafunzi wa kidato cha nne Shule ya Sekondari Lulembela Mkoani Geita ambaye ni kati ya Watu wawili waliofariki kwenye vurugu za jana Kijijini hapo, amesema Mtoto wake aliuawa kwa risasi iliyofyatuliwa na Polisi wakati wakiwatawanya Watu.
Akiongea na AyoTV_ ambayo imefika nyumbani kwa Wazazi wa Theresia kupata undani wa kifo hicho, Mama Mzazi wa Mtoto huyo amesema wakati tukio linatokea Mwanae alikuwa ndani ya nyumba akiwa anachungulia dirishani ndipo risasi iliyofyatuliwa na Polisi ikapita dirishani na kumpiga sehemu za kifuani na akafariki.
“Mwanangu alikuwa amekaa chumbani kwake kitandani (kabla ya kuchungulia dirishani), Mimi nikiwa sebuleni, baada ya vurugu Mwanangu akaja analia huku anavuja damu nikamwangalia nikaona kifua kimetoboka”
IGPNchi iko salama!!!!!!!!!
KabisaYaleyale ya Akwelina
tehteh nawaza wale wanaosema wao wakaw kimya wao wakae ndani na wala wasikemee.binti wa watu risasi imemfata ndani kabisaMama Mzazi wa Mtoto Theresia John (18), Mwanafunzi wa kidato cha nne Shule ya Sekondari Lulembela Mkoani Geita ambaye ni kati ya Watu wawili waliofariki kwenye vurugu za jana Kijijini hapo, amesema Mtoto wake aliuawa kwa risasi iliyofyatuliwa na Polisi wakati wakiwatawanya Watu.
Akiongea na AyoTV_ ambayo imefika nyumbani kwa Wazazi wa Theresia kupata undani wa kifo hicho, Mama Mzazi wa Mtoto huyo amesema wakati tukio linatokea Mwanae alikuwa ndani ya nyumba akiwa anachungulia dirishani ndipo risasi iliyofyatuliwa na Polisi ikapita dirishani na kumpiga sehemu za kifuani na akafariki.
Soma Pia: GEITA: Wananchi wavamia kituo Cha Polisi, wawili wauawa
“Mwanangu alikuwa amekaa chumbani kwake kitandani (kabla ya kuchungulia dirishani), Mimi nikiwa sebuleni, baada ya vurugu Mwanangu akaja analia huku anavuja damu nikamwangalia nikaona kifua kimetoboka”
Aiseee ni mwendo wa shaba tu.
😭😭😭😭😭
Mtoto alitulia ndani kwao kumbe risasi ikamfuata.
Serikali itasimamia maziko.
Too sad