Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
Mkoa wa Geita sasa umekuwa na mfululizo wa matukio Hasa Matukio ya kujinyonga. Karibu kila siku RPC wa Geita Henry Mwaibambe amekuwa akitangaza Matukio hayo.
Matukio yanayo ukabili mkoa wa Geita ni Matukio ya vifo hasa kujinyonga na kuuliwa. Kwa mfano kwa Siku ya leo tu ni zaidi ya matukio Matatu ya vifo yameripotiwa na vituo tofauti tofauti kutoka mkoani Geita. Si kujinyonga tu na matukio Mengine kama ya Ubakaji na mengine.
Kwa tafiti zisizo rasmi Matukio mengi yanayo tokea mkoani Geita yanasababishwa na Mapenzi Huenda ukawa wivu wa mapenzi au ubakaji.
RPC wa Geita Henry Mwaibambe Pole kwa kazi ya kutangaza na kukemea kila siku unayo ifanya ila inatakiwa ushirikiane na Serikali ya Mkoa kutoa Elimu juu ya Matukio hayo.
Kwa leo ni hayo tu Wana Geita Sijui mmekubwa na nini.
Rejea Watu 28 wajinyonga Geita ndani ya miezi 6
Matukio yanayo ukabili mkoa wa Geita ni Matukio ya vifo hasa kujinyonga na kuuliwa. Kwa mfano kwa Siku ya leo tu ni zaidi ya matukio Matatu ya vifo yameripotiwa na vituo tofauti tofauti kutoka mkoani Geita. Si kujinyonga tu na matukio Mengine kama ya Ubakaji na mengine.
Kwa tafiti zisizo rasmi Matukio mengi yanayo tokea mkoani Geita yanasababishwa na Mapenzi Huenda ukawa wivu wa mapenzi au ubakaji.
RPC wa Geita Henry Mwaibambe Pole kwa kazi ya kutangaza na kukemea kila siku unayo ifanya ila inatakiwa ushirikiane na Serikali ya Mkoa kutoa Elimu juu ya Matukio hayo.
Kwa leo ni hayo tu Wana Geita Sijui mmekubwa na nini.
Rejea Watu 28 wajinyonga Geita ndani ya miezi 6