Geita vs Singida: Ni mji upi mzuri kifursa, kimaendeleo na ukuaji kuliko mwingine?

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Karibuni kwenye mada hii mdau

Nipo hapa nawaza kwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa geita na singida

Je, ni mji gani mzuri kati ya hii miwili ni mkubwa kifursa kuliko mwingine kimaendeleo na ukuaji?na mzunguko wa hela kwa wananchi.
 
Singida ni Manspaa na Makao Makuu ya Mkoa tangu 1963 wakati Geita ni Halmashauri ya mji na Makao Makuu ya mkoa tangu 2012. Sijui unalingalishaje miji hii miwili?

Kwa ukuaji wa mji Geita inakuwa kwa kasi na idadi ya watu ni kubwa kuliko Singida. Aidha, huwezi kulinganisha fursa za kibiashara na mji wenye dhahabu na mji wa alizeti. Tafakari.
 
Usipepese macho njoo singida!,mji mzuri mzunguko upo,totozi kali zipo maisha pia cheap sana jero tu unapanda bajaji
 
Singida ipo mbali sana kimaendeleo kuliko Geita!,makao makuu ni mara mia yangekuwa Singida kuliko Dodoma maana Dodoma ni jangwa lililochangamka!
Yataje hayo maendeleo maana Singida ni Manspaa ya muda mrefu sana lakini ukilinganisha na ukuaji wa mji wa Geita Singida inasubiri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…