Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Ikiwa leo Tanzania Bara inaadhimisha miaka 63 ya Uhuru wazee waliozaliwa kabla ya uhuru mkoani Geita wamewataka vijana kuacha kuilalamikia serikali kwamba haileti maendeleo kwenye jamii zao
Badala yake waiunge mkono izidi kuleta maendeleo kwani mpaka sasa Tanzania imepiga hatua kubwa ya maendeleo kwenye sekta mbalimbali.
Wakizungumza wakati wa Maadhimisho ya Miaka 63 ya Uhuru kimkoa, wazee hao wamesema miaka 1960 Geita haikuwa na shule hata moja badala yake walilazimika kwenda Mwanza na enzi hizo waliokuwa wanasomea kwenye shule hizo ni wale wenye familia zilizokuwa na uwezo wa kifedha
Lakini kwa sasa kila kata ina shule ya sekondani hivyo ni maendeleo makubwa yaliyopatikana kipindi hiki cha miaka 63 ya Uhuru.
Badala yake waiunge mkono izidi kuleta maendeleo kwani mpaka sasa Tanzania imepiga hatua kubwa ya maendeleo kwenye sekta mbalimbali.
Wakizungumza wakati wa Maadhimisho ya Miaka 63 ya Uhuru kimkoa, wazee hao wamesema miaka 1960 Geita haikuwa na shule hata moja badala yake walilazimika kwenda Mwanza na enzi hizo waliokuwa wanasomea kwenye shule hizo ni wale wenye familia zilizokuwa na uwezo wa kifedha
Lakini kwa sasa kila kata ina shule ya sekondani hivyo ni maendeleo makubwa yaliyopatikana kipindi hiki cha miaka 63 ya Uhuru.