Karne
JF-Expert Member
- Jun 13, 2016
- 8,118
- 13,547
Hivi vita vya DRC huwa naona ni siasa za kupotezeana muda tu.
EAC kupeleka jeshi ni kupoteza muda,pesa na human resources.
Haya makundi yakizidiwa yanaenda kwenye meza ya mazungumzo kutafuta suluhu ikiwemo wapiganaji wao kuandikishwa kwenye jeshi la taifa.
Wanaasi tena baada kupata uzoefu na silaha,wanaanza tena upya.
EAC kupeleka jeshi ni kupoteza muda,pesa na human resources.
Haya makundi yakizidiwa yanaenda kwenye meza ya mazungumzo kutafuta suluhu ikiwemo wapiganaji wao kuandikishwa kwenye jeshi la taifa.
Wanaasi tena baada kupata uzoefu na silaha,wanaanza tena upya.