Ndivyo inavyotakiwa.The strong shall survive, the weak shall perish.Dunia ya leo tunarudi Karne ya 17, ni mwendo wa kuchapana tu
Ni lazima awe nao wa kutosha kwa vile anafanya vita kama biashara ya kuinua uchumi wa mchi yake.Rwanda anatakua na backup ya mabwana wakubwa sio bure.
#MaendeleoHayanaChama
Huwa kuna watu (nchi) wapo nyuma yao wameshika remote, hivyo maslahi yao yakiguswa wanawatumia kuanzisha uasi na wakipatana wanawatuliza, hivyo hao wapiganaji wanatumika tu.Hivi vita vya DRC huwa naona ni siasa za kupotezeana muda tu.
EAC kupeleka jeshi ni kupoteza muda,pesa na human resources.
Haya makundi yakizidiwa yanaenda kwenye meza ya mazungumzo kutafuta suluhu ikiwemo wapiganaji wao kuandikishwa kwenye jeshi la taifa.
Wanaasi tena baada kupata uzoefu na silaha,wanaanza tena upya.
Tunamalizana nao vipi hawa majirani!?Kagame na Museveni ndio matatizo makubwa hapa East Africa.
Rais wa Nigeria unamjua, Rais wa Sierra Leone unamjua.Labda kwa sababu ndio maraisi pekee ambao ni majenerali wa jeshi.
Mpumbavu kabisa wewe, unakaa kwenye nchi yenye amani basi unaropokaropoka tu upuuzi wako.Ndivyo inavyotakiwa.The strong shall survive, the weak shall perish.
Umesikia taarifa huko?Hahahahaha huyu mwamba ameshutumiwa kufa toka enzi zile za JK akiwa madarakan ila bado anadunda.
Anaonekana mapambano yakianza tu huwa faster anasepa kurudi rwanda.
M23 walikimbilia Uganda baada ya kutimuliwa na "UN". Kwahiyo wametokea Uganda. Amani ya Congo ipo mikononi mwa wakongo na majirani zake. PK na m7 ni wahuni.Kagame na Museveni ndio matatizo makubwa hapa East Africa.
Ni washenzi wale watu wawili... natamani sana wapotee kabisa hapa EA.M23 walikimbilia Uganda baada ya kutimuliwa na "UN". Kwahiyo wametokea Uganda. Amani ya Congo ipo mikononi mwa wakongo na majirani zake. PK na m7 ni wahuni.
Matakwa gani hayo mkuukabla ya aliyekuwa rais wa DRC wakati huo Joseph Kabila, kukubali matakwa ya waasi wa M23.
Huyu jamaa Mara ya mwisho nakumbuka alikamatwa akapelekwa Rwanda enzi zile M23 inasambazwa. Au zilikuwa tuhuma.Kuna mdau aliwahi kusema humu makenga amefariki, mimi nilimkatalia na nikasema kuwa
1. Ni dhahiri jeshi la Rwanda ndio wafadhili wa m23, miaka ile ya nyuma ya JK mpaka UN walilaani rwanda kwa kufadhili genge hilo.
2. Kwa kuwa rwanda hana jeshi kubwa na wala hana uchumi mkubwa. Sio rahisi Rwanda akubali kupoteza Askar na vifaa vyake vingi, hivyo basi, wakizidiwa mapambano hawa M23 huwa wanakimbilia kwao Rwanda.
Hii ndio maana ni rahisi wao kurudi Congo sababu hawakubali kufa, wakizidiwa tu wanarudi Congo. Nkisema hawakubali kufa haimaanishi kuwa hawafi kabisa.