Sidhani kama upo uwezekano wa huyo mtu kubadilika kitabiani kwasababu hana majukumu mazito yenye pressure, akiwa Rais atanyooka mbona π
tunajifunza kwa rafiki yangu Dr William Samoe Ruto, kwamba ahadi lukuki unaweza zitoa ukiwa nje ya mamlaka, lakini ukiwa ndani ya serikali mambo ni tofauti, ukizembea unaweza kuangukia pua hata kama sijui wewe ni nani ππSidhani kama upo uwezekano wa huyo mtu kubadilika kitabia
Kwa lipi zuri alilofanya?Namkubali sana mzee Museveni simba wa Afrika.
Ungeuliza...Kwa lipi zuri alilofanya?
Nimeuliza hivyo kwa sababu mpaka sasa Mimi binafsi Sina ufahamu juu ya uwepo wa rekodi yoyote ile ya jambo zuri ambalo Rais Museven amewahi au hata kuhisiwa tu kwamba amewahi kulifanyaUngeuliza...
"kwa yapi mazuri aliyoyafanya?"