Gen. Valerii Zaluzhny: It’s time to defeat unprofessional Russian army

Gen. Valerii Zaluzhny: It’s time to defeat unprofessional Russian army

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
“We finished up with the 🇷🇺professional army, and now it’s time to defeat unprofessional” - Gen. Valerii Zaluzhny, a Commander-in-Chief of the Armed forces of Ukraine.

==============

Urusi ilipeleka askari professional walioiva vizuri sana mwanzoni mwa vita mwezi February. Kwa agenda moja kwanza kuonyesha nguvu za kijeshi za Urusi kwa dunia na pili kuteka Ukraine na mji mkuu Kyiv na Raisi Zelensnkyy ndani ya masa 72 tu

Askari mahiri waliuawa kama kuku wa mdondo na jeshi Shupavu la Ukraine wakauawa maelfu wachache waliobakia wakafunga virago kuwa wanaenda kupigana Donbass !! Kumbe wamexidiwa

Donbass walikoenda mmarekani Mungu ambariki akaisaidia Ukraine makombora ya Himars, Yamewabomoa hao Askari Proffessionals hadi wamebaki wachache wengi wamerudishwa Russia ili nchi isibaki tupu bila Askari Proffessionals!! Ndio.maana unaona wanakimbia na kutelekeza vifaa vya kijeshi vizima kabisa

Sasa hivi Urusi wanapeleka vijana waliopitia JKT. (CONSCRIPTS) kwenda kupigana ambao ni unprofessional.

MRUSI KAISHIWA STOCK YA PROFFESSIONAL SOLDERS !! Iko minimum kwenye re order level!! ndio ana replace na un Proffessional soldiers watoto waliopitia JKT!!! Kichekesho cha Mwaka huwezi replace professional na unprofessional!! PUTIN KACHANGANYIKIWA
 
Hiyo ni ndoto unaotaa .subiri uchaguzi uishe kule dombass na luhansk halafu uje hapa tena utoe hiyo story
Uchaguzi gani usiopigwa vituo vya kupitia kura? Donbass na Luhansk?

Askari mwenye bunduki anakuja na Askari mwenzie aliyevaa kiraia kabeba kinachoitwa box la kupigia kura unagongewa mlango halafu unaambiwa piga kura kujiunga na Urusi au la !! Halafu box wanaondoka nalo baadaye watatangaza matokeo huko gizani walikotokomea na hilo box!!!

Hiyo sio kura ni usanii wa Putin tena wa kitoto
 
Urusi wajinga hata mbinu za kivita Hawako vizuri kabisa.Proffessional Soldiers hutakiwi kuwatanguliza mbele vita ukianza wanabaki nyuma kwanza kusoma vita na kuwapa uzoefu vijana new recruits wanaotarajiwa kuchukua nafasi za Proffessional soldiers .Battle ground inakuwa ndio real ground kuonyesha walichofunzwa kama walielewa

Mrusi analeta new recruits mwisjoni wakati vita imechachamaa akili hana

Ukraine wako vizuri walitanguliza askari wapya kwanza na wakafanya vizuri kiasi chao moja ni kuhakikisha mji mkuu Kyiv hauchukuliwi na Kuua miaskari professionals kibao ikiwemo mi generali ya Urusi!!
Vita ilipoanza kuwa kali ndipo.jeshi la Ukraine sasa limeachia Proffessional soldiers Askari wabobezi na wazoefu mahiri waingie vitani!!

Mrusi kapoteza Askari Proffessionals wengi ana replace na Askari Unprofessional wakati Ukraine kapoteza Askari unprofessional ana replace na Askari Proffessional. MRUSI lazima akione cha mtema kuni .Kwenye Mbinu za kivita Mrusi kwenye vita na Ukraine yuko.sifuri.Ukraine yuko kuu.Proffesionals kwenye vita wanakuwa back up army wa mbele wakizidiwa .

Wanatangulizwa kwanza wale ambao ni potential in future watarajiwa kuwa mafisa wa Jeshi au wapiganaji mahiri wa kuaminiwa na nchi nk hupimwa uwezo wao kwenye vita halisia ndio hupewa kipaumbele vita ikianza.Wazoefu hubaki nyuma kama back up kukicharuka mbele na wakiona vijana wao wamezidiwa

Huwezi kujua uwezo wao bila kuwapeleka vitani!! Vyeo vya Jeshi halisia havipatikani mezani ni vitani.Vita halisi kabisa unalengwa risasi unakwepa unaua adui

Ukraine ndio mbinu alitumia sasa hivi Askari Proffessional wako vitani dhidi ya Askari unprofessional wa Urusi ndicho kamanda mkuu mkakamavu aliyebobea kwenye mbinu za kivita kama eneo lake la kujidai wa majeshi ya Ukraine anachomaanisha.
 
Huyo kamanda mkuu wa wa.majeshi ya Ukraine yuko.vizuri sana kwenye MK yaani Medani za Kivita au Mbinu za Kivita kirefu.Yuko fit sana

.Kukitokea vita wataalamu wa Jeshi waliobobea kwenye MK utawajua wako fit kwa kuangalia tu mwenendo wa vita Urusi imezidiwa.Wataalamu wake wa MK hopeless na stupid.

Walipata vyeo kwa kuendelea tu kuwa huyu mtoto wa nani mpe cheo matokeo ndio hayo
 
Hiyo ni ndoto unaotaa .subiri uchaguzi uishe kule dombass na luhansk halafu uje hapa tena utoe hiyo story
Katika vita hakuna udhaifu mbaya kama kuwa tegemezi kwa kupewa silaha na fedha! Utasaidiwa kwa kiwango fulani na kwa wakati fulani!
Mara nyingi adui mjinga hutumia silaha kwa pupa hasa pale unapompa fake retreat/surrender!
Mbinu hii hutumika ili adui afunguke siri zote alafu ndio unampiga kwa mshangao! Nina wasiwasi kinachofuata kievu inakwenda kupigwa pigo baya ili kung’oa kitovu cha mapokezi na mikakati
 
Cha kuongezea hao wanaokusanywa kazi wanayo kwani silaha za kirusi ni nzito alafu full kujam.
 
Back
Top Bottom