Labda kama wewe ndo unampelekea moto kwenye Keyboard.....kiuhalisia Ukraine kashindwa kurudisha majimbo yake yaliyomikononi mwa Urusi....15% of the land..ikifika ijumaa itakuwa imepotea lasmiYeye Putin ndie anapelekewa moto
Anatishia nyukilia mjinga yule Nani asiye na nyukilia? Ulaya nchi zote zina nyukilia akilianzisha wanalianzisha