Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una akili za kijanga wewe utakuwa chawa wa ccmHii Finance bill inaenda kuwekwa saini mapema asubuhi. Wakati KDF wakiimarisha ulinzi. Jaribuni mwakani. Asanteni kwa kushiriki
As if mna jeshi kweli .kenya mna kikundi cha watu wenye siraha lile sio jeshi [emoji81][emoji81][emoji28]Jeshi likiingia mtaani hakuna Z wala X
Na nini kilichobadilika zaidi ya kumwagika damu nyingi za watu? Mubarak aliondoka wakaingia Ikhwanul Muslimiin wakapinduliwa mwaka 2013 na damu nyingi zaidi ikamwagika akarudi al-SisiMisri 2011 maandamano yalianza kimzaha mzaha Tahrir square ,watu wakasema Hosni Mubarak ni very powerful na jeshi linamtii..
Wanajeshi wakawa deployed mwisho wa siku wanajeshi walizidiwa na nguvu ya umma nao wakaamua kuungana na raia ndio ukawa mwisho wa Mubarak.
Hivyo mleta mada nikukumbushe usiidharau nguvu ya umma!
Nguvu ya wahuni. Sio ummaMisri 2011 maandamano yalianza kimzaha mzaha Tahrir square ,watu wakasema Hosni Mubarak ni very powerful na jeshi linamtii..
Wanajeshi wakawa deployed mwisho wa siku wanajeshi walizidiwa na nguvu ya umma nao wakaamua kuungana na raia ndio ukawa mwisho wa Mubarak.
Hivyo mleta mada nikukumbushe usiidharau nguvu ya umma!