Gen Z Kenya, mtaka yote kwa pupa hukosa yote; mihemko siyo dili kwenye mapambano

Gen Z Kenya, mtaka yote kwa pupa hukosa yote; mihemko siyo dili kwenye mapambano

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Siyo rahisi kuyafikia malengo na mahitaji yenu ya msingi mengi na yote kwa pamoja. Inahitaji muda na nafasi.

Inafahamika na Imebainika Africa na duniani nzima, mnatamani mahitaji yenu yote ya msingi yatimizwe. Serikali imekubali, na imewaalika mezani kuzungumza nanyi mnataka nini tena mtaani?

Katika kuyafikia hayo msipokua na nidhamu ya pamoja katika kuyafikia hayo malengo yenu, ni dhahiri mnaweza kuyakosa yote.

Isifikie mahali mkachokwa na mnaowashinikiza watimize mahitaji yenu, lakini pia jumuiya ya kimataifa inayowapongeza kwa kujitambua na kuwatetea, kupoteza imani nanyi, na kuamini kwamba hamkua na nia ya kutimiziwa mahitaji yenu bali kuleta fujo na uharibifu tu; na pengine kuna mipango na mashinikizo ya kisiasa nyuma yenu.

Uvumilivu wa utawala na vyombo vya ulinzi na usalama unaelekea ukomo. Nanyi taratibu mnapoteza uelekeo, mnapoteza malengo, mapoteza muda na mnapoteza maisha. hapatakua na faidi kwa yeyote miongoni mwenu.

Ni muhimu nidhamu ya pamoja ikajengwa miongoni mwenu. pupa ikawekwa kando, vinginevyo mtakosa na kupoteza yote.

Mtaka yote kwa pupa hukosa yote. mihemko sio deal.

Pokeeni salamu nyingi sana kutoka Tripoli-Libya na Khatoom-Sudani🐒
 
Yani wee tokea kupata kazi unajiona una akili kushinda sehemu zako za siri ambazo zinaweza kuzuia wapi ukojoe au unye umelala
brazake shetani umepanic au mihemko 🐒

mimi nashauri tu na kusonga mbele, chuo cha diplomasia sikupita hivi hivi bana nilitoka na kakitu kakusema 🐒
 
Unakuta hata Gen Z ,hunijui Wala kujua falsafa zao.

Ila umeandika kufuatia Gen Z, kuandamana na ukaona Taarifa ya Habari.

Wee ni Kilaza
ifike mahali falsafa hata za Donald Trump zitumike kwamba within 24hr Ukraine-Russia war will be settled 🐒

mmepiga makelele muswada ni mbaya uondolewe, ukaondolewa...

haya njooni mezani tuzungumze, hamtaki , mnaleta falsafa 🤣

ama kweli mkataa pema pabaya pana mwita kwa kulazimisha 🤭
 
ifike mahali falsafa hata za Donald Trump zitumike kwamba within 24hr Ukraine-Russia war will be settled 🐒

mmepiga makelele muswada ni mbaya uondolewe, ukaondolewa...

haya njooni mezani tuzungumze, hamtaki , mnaleta falsafa 🤣

ama kweli mkataa pema pabaya pana mwita kwa kulazimisha 🤭

..Ruto hawezi kushindana na Gen-Z.

..asipokuwa makini wanaweza kumuondoa.

..awe mtulivu na kufanya wanachotaka.
 
1719778510615.jpg
 
..Ruto hawezi kushindana na Gen-Z.

..asipokuwa makini wanaweza kumuondoa.

..awe mtulivu na kufanya wanachotaka.
sijaona cha kuwashindanisha, nadhani kiongozi wao amekua muungwana kupitiliza ni muhimu wakaitumia hii kama fursa ya kuweka mawazo yao pamoja, wasichukue kama advantage ya kudeka na kufanya uharibifu zaidi, hakuna atakaefaidika miongoni mwao kwenye nchi yao, Libya na Sudan wanawasikitikia sana wakenya 🐒
 
Back
Top Bottom