Gen Z Kenya, mtaka yote kwa pupa hukosa yote; mihemko siyo dili kwenye mapambano

Gen Z Kenya, mtaka yote kwa pupa hukosa yote; mihemko siyo dili kwenye mapambano

sijaona cha kuwashindanisha, nadhani kiongozi wao amekua muungwana kupitiliza ni muhimu wakaitumia hii kama fursa ya kuweka mawazo yao pamoja, wasichukue kama advantage ya kudeka na kufanya uharibifu zaidi, hakuna atakaefaidika miongoni mwao kwenye nchi yao, Libya na Sudan wanawasikitikia sana wakenya 🐒

..ndio nashauri Ruto asimuige " chura kiziwi " kupuuza madai ya waandamanaji.

..waswahili tuna msemo, " bahati ya mwenzao usiilalie mlango wazi. "

..Ruto asifikiri kwasababu Samia anapuuza vilio vya wananchi na yuko salama, basi Ruto naye anaweza kufuata mfano huo.

..Watanzania ni wapole. Wakenya sio wapole.

..Nasisitiza Ruto asipotimiza matakwa ya Gen-Z asije akashangaa wamemvamia sebuleni kwake.
 
..ndio nashauri Ruto asimuige " chura kiziwi " kupuuza madai ya waandamanaji.

..waswahili tuna msemo, " bahati ya mwenzao usiilalie mlango wazi. "

..Ruto asifikiri kwasababu Samia anapuuza vilio vya wananchi na yuko salama, basi Ruto naye anaweza kufuata mfano huo.

..Watanzania ni wapole. Wakenya sio wapole.

..Nasisitiza Ruto asipotimiza matakwa ya Gen-Z asije akashangaa wamemvamia sebuleni kwake.
waTanzania hadi watakapoacha mihemko na matusi miaka elfu2 ijayo ndio yatafanyika maandamano makubwa yenye tija, vinginevyo itakua jogging tu kama kawaida mitusi mwanzo mwisho 🐒
 
..ndio maana nasema Ruto asimuige Samia ktk kudili na maandamano.
hakuna uhusiano,
nadhani gnZ ndio wanaiga mihemko na ghadhabu za waTanzania zitakazowapelekea kuangukia pua 🐒
 
waTanzania hadi watakapoacha mihemko na matusi miaka elfu2 ijayo ndio yatafanyika maandamano makubwa yenye tija, vinginevyo itakua jogging tu kama kawaida mitusi mwanzo mwisho 🐒
Tanzania ni kichaka tu chenye nyasi....iliyokauka kikisubiria mtu akimwagie petrol tu.....
Bora hata hao wakenya wanakiamsha badaye wanatulia baada ya kukaa mezani
Tanzania watu wanalalamika moyoni tu

Ova
 
siyo rahisi kuyafikia malengo na mahitaji yenu ya msingi mengi na yote kwa pamoja. Inahitaji muda na nafasi..

Inafahamika na Imebainika Africa na duniani nzima, mnatamani mahitaji yenu yote ya msingi yatimizwe. Serikali imekubali, na imewaalika mezani kuzungumza nanyi mnataka nini tena mtaani?

katika kuyafikia hayo msipokua na nidhamu ya pamoja katika kuyafikia hayo malengo yenu, ni dhahiri mnaweza kuyakosa yote...

Isifikie mahali mkachokwa na mnaowashinikiza watimize mahitaji yenu, lakini pia jumuiya ya kimataifa inayowapongeza kwa kujitambua na kuwatetea, kupoteza imani nanyi, na kuamini kwamba hamkua na nia ya kutimiziwa mahitaji yenu bali kuleta fujo na uharibifu tu; na pengine kuna mipango na mashinikizo ya kisiasa nyuma yenu...

uvumilivu wa utawala na vyombo vya ulinzi na usalama unaelekea ukomo. Nanyi taratibu mnapoteza uelekeo, mnapoteza malengo, mapoteza muda na mnapoteza maisha. hapatakua na faidi kwa yeyote miongoni mwenu..

ni muhimu nidhamu ya pamoja ikajengwa miongoni mwenu. pupa ikawekwa kando, vinginevyo mtakosa na kupoteza yote...

mtaka yote kwa pupa hukosa yote. mihemko sio deal..

Pokeeni salamu nyingi sana kutoka Tripoli-Libya na Khatoom-Sudani🐒
Umeandika kwa hofu na uoga mwingi sana.Kwani unogopa nini sasa?🤣🤣🤣🤣🙏
 
Back
Top Bottom