Nebuchadneza
JF-Expert Member
- Oct 6, 2023
- 435
- 1,093
1996-2010.
Hichi kizazi kimebarikiwa sana,hakisubiri sijui serikali itoe ajira wanazama front wenyewe .
ni wapambanahi sana
Wengi wao wanajitegemea sio kama sisi kizazi cha millennium bado tupo kwa wazazi jitu lina miaka 36 bado lipo kwa mama.
Wengi wao wanapiga pesa simple sana sio mpaka watoe majasho.
Hawa jamaa wanajitambua sana
Wanaelewa duniani ni mapito kwa hiyo anatengeneza maisha fast
Hahahaha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na kwa Sasa Gen Z wamebuni mbinu ya kunywa pombe kwa kutumia njia ya haja kubwa.Ni wabunifu sana kwa kweli.
Fanya yako jike shupazaNa kwa Sasa Gen Z wamebuni mbinu ya kunywa pombe kwa kutumia njia ya haja kubwa.Ni wabunifu sana kwa kweli.