Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,754
- 4,975
Wanakaribishwa sanaKutoka katika Vyanzo mbalimbali vya mitandao ya kijamii pamoja na baadhi ya mitaa, joto na vuguvugu la maandamano ya vijana wa kitanzania wakionyesha kuchoka na hali ya ugumu wa maisha, ukosefu wa ajira, kulinda rasilimali za taifa ambazo siku za karibuni zimeonekana kuwa mnadani, matumizi mabaya ya fedha za umma na ziara za viongozi zisizokuwa na tija, huku huduma muhimu kama bima za afya zikiondolewa zimetajwa kuwa chanzo cha maandamano hayo.
View attachment 3050617
ngoja tuoneMaandamano yatakuwa nyuma ya keybord kama hivi.
Hapa ndiyo tunaandamana tayari.
Mbuyu ulianza kama UyogaThubutu
Nao ni Gen ZMakamba na january wanapima kina cha mto kwa miguu,watajuta