Utatenguliwa kiuno kisha ulipwe halafu uambiwe ulikua unafanya dramaShida ya watanzanoa ndiyo inaanzia hapo.Uoga na hofu. Kuanzia vyombo vya habari mpaka watanzania wenyewe
Na Baba yako ni miongoni mwa hao wazee uliowatukana,Kwa kuongezea wazee wapumbavu na wajinga ambao walishindwa kupambania haki zako kipindi cha ujana wao kwa sababu tofauti tofauti kama ufala uliopitilizia ,ujinga ,kukosa elimu na kuendekeza ngono ni muda wao pia.
Ambao ujinga na upumbavu wa wazee hao ni matokeo ya maisha ya sasa
Hapa nazungumzia watu wa 1900's.
Nao ni Gen ZTarehe hiyo JWTZ wataanza zoezi la kufagia barabara zote nchi nzima.
Diamond konde zuchu wanasemaje leoMsanii maarufu avujisha video akiwa mtupu(connection).
Kibu denis aonekana na Hersi somewhere huko duniani wakinywa kahawa.(Simba, Yanga)
Waziri fulani wa fedha aitwa na Takukuru kuulizwa kama kweli mabasi yale ni ya kwake.(porojo za Siasa)
Haya mambo matatu yakijaza vichwa vya habari gen Z wa hapa walivyo wataguswa karibu wote na maandamano hamna tena, weshapata la muhimu zaidi.
Siyo waigizaji hawa walioandaliwa na Lucas Mwashambwa ili mwisho wa siku waseme mama amewasikilizaKutoka katika Vyanzo mbalimbali vya mitandao ya kijamii pamoja na baadhi ya mitaa, joto na vuguvugu la maandamano ya vijana wa kitanzania linaendela, chanzo ikisemekana ni kuchoka na hali ya ugumu wa maisha, ukosefu wa ajira, kulinda rasilimali za taifa ambazo siku za karibuni zimeonekana kuwa mnadani, matumizi mabaya ya fedha za umma na ziara za viongozi zisizokuwa na tija, pamoja na huduma muhimu kama bima za afya zikiondolewa.
Pia soma: Yanayojiri Maandamano ya Gen Z Kenya
Hawa wataandamana kuzipokea Yanga na Simba airportKutoka katika Vyanzo mbalimbali vya mitandao ya kijamii pamoja na baadhi ya mitaa, joto na vuguvugu la maandamano ya vijana wa kitanzania linaendela, chanzo ikisemekana ni kuchoka na hali ya ugumu wa maisha, ukosefu wa ajira, kulinda rasilimali za taifa ambazo siku za karibuni zimeonekana kuwa mnadani, matumizi mabaya ya fedha za umma na ziara za viongozi zisizokuwa na tija, pamoja na huduma muhimu kama bima za afya zikiondolewa.
Pia soma: Yanayojiri Maandamano ya Gen Z Kenya
Ule mwenge umepandikiza ujinga haswaShida ya watanzanoa ndiyo inaanzia hapo.Uoga na hofu. Kuanzia vyombo vya habari mpaka watanzania wenyewe
Kwani nani kakuhakikishia utaishi milele?Maandamano MEMA.
Tukumbuke tu mwili Hauna spare.
Na uhai haununuliwi.
Na MAPINDUZI NI GHARAMA