MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Bila shaka wew ni 90'sNa Baba yako ni miongoni mwa hao wazee uliowatukana,
Kama unamjua Baba yako lakini.
Bila shaka wewe ni Binti.Bila shaka wew ni 90's
šš·š·Picha linaanza watu wanaogopa Hadi kuchangia huu uzi
Jifariji tuKwani nani kakuhakikishia utaishi milele?
Kwani nani kakuhakikishia utaishi milele?
We ni Gen Z?Maandamano yatakuwa nyuma ya keybord kama hivi.
Hapa ndiyo tunaandamana tayari.
UvCcm wataandaa maandamano counter gen z tz kupongezaKutoka katika Vyanzo mbalimbali vya mitandao ya kijamii pamoja na baadhi ya mitaa, joto na vuguvugu la maandamano ya vijana wa kitanzania linaendela, chanzo ikisemekana ni kuchoka na hali ya ugumu wa maisha, ukosefu wa ajira, kulinda rasilimali za taifa ambazo siku za karibuni zimeonekana kuwa mnadani, matumizi mabaya ya fedha za umma na ziara za viongozi zisizokuwa na tija, pamoja na huduma muhimu kama bima za afya zikiondolewa.
Pia soma: Yanayojiri Maandamano ya Gen Z Kenya
Kichekeshoš¤£Kutoka katika Vyanzo mbalimbali vya mitandao ya kijamii pamoja na baadhi ya mitaa, joto na vuguvugu la maandamano ya vijana wa kitanzania linaendela, chanzo ikisemekana ni kuchoka na hali ya ugumu wa maisha, ukosefu wa ajira, kulinda rasilimali za taifa ambazo siku za karibuni zimeonekana kuwa mnadani, matumizi mabaya ya fedha za umma na ziara za viongozi zisizokuwa na tija, pamoja na huduma muhimu kama bima za afya zikiondolewa.
Pia soma: Yanayojiri Maandamano ya Gen Z Kenya
Shida za vijana January na nape zinawahusu Nini?Nape na january wanapima kina cha mto kwa miguu,watajuta
Huyu mpuuzi yeye aliwahi kumsikiliza mtu yoyote?
Tanzania kijana hana ajira lakini analewa ,ugumu wa maisha unatoka wapi?,kijana hana ajira lakini akipiga ukware kwa watu wawili watatu anakula milo mitatu, ugumu hakuna kabisa , niliwahi kuishi Lagos ni ngumu nyeusi hakuna kusaidiana kama sisi Watanzania,hakika tuna moyo wa imani .Mungu ibariki Tanzania.Kutoka katika Vyanzo mbalimbali vya mitandao ya kijamii pamoja na baadhi ya mitaa, joto na vuguvugu la maandamano ya vijana wa kitanzania linaendela, chanzo ikisemekana ni kuchoka na hali ya ugumu wa maisha, ukosefu wa ajira, kulinda rasilimali za taifa ambazo siku za karibuni zimeonekana kuwa mnadani, matumizi mabaya ya fedha za umma na ziara za viongozi zisizokuwa na tija, pamoja na huduma muhimu kama bima za afya zikiondolewa.
Pia soma: Yanayojiri Maandamano ya Gen Z Kenya