Tetesi: Gen Z Tanzania watangaza maandamano makubwa Jumatatu Agosti 5/2024 kutumia haki yao kikatiba kupinga ukosefu wa huduma mbalimbali nchini

Tetesi: Gen Z Tanzania watangaza maandamano makubwa Jumatatu Agosti 5/2024 kutumia haki yao kikatiba kupinga ukosefu wa huduma mbalimbali nchini

Kutoka katika Vyanzo mbalimbali vya mitandao ya kijamii pamoja na baadhi ya mitaa, joto na vuguvugu la maandamano ya vijana wa kitanzania linaendela, chanzo ikisemekana ni kuchoka na hali ya ugumu wa maisha, ukosefu wa ajira, kulinda rasilimali za taifa ambazo siku za karibuni zimeonekana kuwa mnadani, matumizi mabaya ya fedha za umma na ziara za viongozi zisizokuwa na tija, pamoja na huduma muhimu kama bima za afya zikiondolewa.

Pia soma: Yanayojiri Maandamano ya Gen Z Kenya

UvCcm wataandaa maandamano counter gen z tz kupongeza

Hii nchi imekufa
 
Kutoka katika Vyanzo mbalimbali vya mitandao ya kijamii pamoja na baadhi ya mitaa, joto na vuguvugu la maandamano ya vijana wa kitanzania linaendela, chanzo ikisemekana ni kuchoka na hali ya ugumu wa maisha, ukosefu wa ajira, kulinda rasilimali za taifa ambazo siku za karibuni zimeonekana kuwa mnadani, matumizi mabaya ya fedha za umma na ziara za viongozi zisizokuwa na tija, pamoja na huduma muhimu kama bima za afya zikiondolewa.

Pia soma: Yanayojiri Maandamano ya Gen Z Kenya

Kichekesho🤣
 
Huyu mpuuzi yeye aliwahi kumsikiliza mtu yoyote?
Fundikira, Kambona, Kassanga Tumbo, Mwijage ?
 
Kutoka katika Vyanzo mbalimbali vya mitandao ya kijamii pamoja na baadhi ya mitaa, joto na vuguvugu la maandamano ya vijana wa kitanzania linaendela, chanzo ikisemekana ni kuchoka na hali ya ugumu wa maisha, ukosefu wa ajira, kulinda rasilimali za taifa ambazo siku za karibuni zimeonekana kuwa mnadani, matumizi mabaya ya fedha za umma na ziara za viongozi zisizokuwa na tija, pamoja na huduma muhimu kama bima za afya zikiondolewa.

Pia soma: Yanayojiri Maandamano ya Gen Z Kenya

Tanzania kijana hana ajira lakini analewa ,ugumu wa maisha unatoka wapi?,kijana hana ajira lakini akipiga ukware kwa watu wawili watatu anakula milo mitatu, ugumu hakuna kabisa , niliwahi kuishi Lagos ni ngumu nyeusi hakuna kusaidiana kama sisi Watanzania,hakika tuna moyo wa imani .Mungu ibariki Tanzania.
 
Back
Top Bottom