Tetesi: Gen Z Tanzania watangaza maandamano makubwa Jumatatu Agosti 5/2024 kutumia haki yao kikatiba kupinga ukosefu wa huduma mbalimbali nchini

Ili kuzima maandamano ya Gen Z wa Tanzania, ni Shilole amwage mumewe wa sasa tu.....kila kijana atakuwa bize kujadili hilo na kusahau maandamano.
 
29 July ni Interview ya PT... Sasa hii tutaifanya ya kipekee... Walau ichukue wiki mbili... Halafu kilele cha wiki ya kwanza ya usahili (ambayo ni 5 August) kunakuwa na mchakamchaka wa wasahiliwa wote...
 
Mbona bwana ROSTAM AZIZI KAUWACHA HUU UZI MPAKA SASA HIVI AU YUPO UPANDE WA JANUARY MAKAMBA NA NAPE?
 
Ninayasubiri Kwa hamu sana hayo maandamano.lazima tuandamane kumfurusha deaf frog kwenye makazi yake
 
 
Gwandileee nungweee aaah ngoja
 
Samia kumfanyia huu uhuni ni kumuonea na kumjaribu !! Hili siliungi mkono.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…