The useful idiot JF-Expert Member Joined Jul 14, 2024 Posts 1,019 Reaction score 2,670 Aug 20, 2024 #81 Adverse Effect said: Mkuu umesoma na kuelewa kilichoandikwa? Au umerukia gari kwa mbele? Soma kwa kutafakari na kutulia sijaona alipohamasisha vurugu. Click to expand... Tafuta hela
Adverse Effect said: Mkuu umesoma na kuelewa kilichoandikwa? Au umerukia gari kwa mbele? Soma kwa kutafakari na kutulia sijaona alipohamasisha vurugu. Click to expand... Tafuta hela
MKATA KIU JF-Expert Member Joined Nov 22, 2010 Posts 3,410 Reaction score 8,184 Aug 20, 2024 #82 Tanzania maisha marahisi sana. Generation Z hawana muda wa kuandamana
uran JF-Expert Member Joined Nov 11, 2013 Posts 10,392 Reaction score 15,948 Aug 21, 2024 #83 Adverse Effect said: Watawala wanajiaminisha kuwa vijana wa TZ bado sana hawajitambui ndio maana wana promote boda boda kama kipaumbele cha ajira. Click to expand... Na Simba na Yanga
Adverse Effect said: Watawala wanajiaminisha kuwa vijana wa TZ bado sana hawajitambui ndio maana wana promote boda boda kama kipaumbele cha ajira. Click to expand... Na Simba na Yanga