Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
πππGen Z wanasema Bara la Africa halijawahi kuwa Huru bali ni Unyonyaji ulihamishwa kutoka kwa Mzungu na kuwaachia vibaraka wao Weusi
Sasa Gen Z ndio wanapigania Uhuru wa kweli na Leo ndio wanafanya Tamasha la kihistoria la kuwakumbuka mashujaa waliouliwa kwenye Maandamano na kwamba hii itakuwa ni Siku rasmi kwa kila mwaka na itakuwa ni Mapumziko kwa Wafanyakazi
Credit: Citizens tv
Pia soma
- LIVE - Yanayojiri Maandamano Kenya: Vifo vya waandamanaji vyafikia 26 baada ya watu wawili waliokuwa wakiendelea kupatiwa matibabu kufariki
Yani watu wanateseka wananyanyaswa wewe unaona hawateseki vzur...kwamba kawa humble sana!... asee hii akil bnahIfike mahala kuwe na kiongozi,Kenya nimakambale hata vidogo vinasharubu.Ruto kawahumble sana! Nikweli Tz kunaukilitimba na kutishana lakini kunahaja ya kusikiliza uongozi. western Democracy is not applicable to Africans.
Vaa viatu vyake ndio utaelewaYani watu wanateseka wananyanyaswa wewe unaona hawateseki vzur...kwamba kawa humble sana!... asee hii akil bnah
Bado naisubiri kwa hamu sana hiyo July 7 ifike.Gen Z wanasema Bara la Africa halijawahi kuwa Huru bali ni Unyonyaji ulihamishwa kutoka kwa Mzungu na kuwaachia vibaraka wao Weusi
Sasa Gen Z ndio wanapigania Uhuru wa kweli na Leo ndio wanafanya Tamasha la kihistoria la kuwakumbuka mashujaa waliouliwa kwenye Maandamano na kwamba hii itakuwa ni Siku rasmi kwa kila mwaka na itakuwa ni Mapumziko kwa Wafanyakazi
Credit: Citizens tv
Pia soma
- LIVE - Yanayojiri Maandamano Kenya: Vifo vya waandamanaji vyafikia 26 baada ya watu wawili waliokuwa wakiendelea kupatiwa matibabu kufariki
Kenya sio Tanzania. Usitumie akili ya kukopi na kupasteMhuuuu...viongozi wameshindwa kuzima hiyo mitandao?
Looters call themselves demonstrators πππππ! StupidGen Z wanasema Bara la Africa halijawahi kuwa Huru bali ni Unyonyaji ulihamishwa kutoka kwa Mzungu na kuwaachia vibaraka wao Weusi
Sasa Gen Z ndio wanapigania Uhuru wa kweli na Leo ndio wanafanya Tamasha la kihistoria la kuwakumbuka mashujaa waliouliwa kwenye Maandamano na kwamba hii itakuwa ni Siku rasmi kwa kila mwaka na itakuwa ni Mapumziko kwa Wafanyakazi
Credit: Citizens tv
Pia soma
- LIVE - Yanayojiri Maandamano Kenya: Vifo vya waandamanaji vyafikia 26 baada ya watu wawili waliokuwa wakiendelea kupatiwa matibabu kufariki
Kimyaaa kaka.Vipi, wameshafanikiwa kuleta "uhuru" wa Kenya?
Uku kwetu unafki umeanzia ngazi ya familia ndugu, kwa ivo % kubwa kufanikiwa ni kupata connection ya uchawa...kawaida chawa haishi mahal pasafi, kwa hvo mahal pachaf(kiutendaj na ungoz) ambapo ni Tanzania ni mahali salama kwa machawa(wanafik), ndo maana kmya kimetawala!Wakenya nawaonea wivu Kwa hatua waliyopiga ya kuwashughulikia Hawa wakoloni weusi na vibaraka wa wazungu Kwa manufaa ya wazungu pamoja na kwamba Kenya kunachangamoto Chache kuliko Tanzania lakini wenye changamoto Chache wanadai haki na wenye changamoto lukuki wametulia tu.hatari sana.