Gen Z wasema July 7 Ndio itakuwa Siku ya Uhuru wa Kenya na kuwakumbuka mashujaa waliouliwa kwenye Maandamano

Gen Z wasema July 7 Ndio itakuwa Siku ya Uhuru wa Kenya na kuwakumbuka mashujaa waliouliwa kwenye Maandamano

Wako sahihi, Africa inahitaji uhuru tena, ule ulikuwa wa bendera tu na another move ya mkoloni kuendelea kukalia makoloni yake kupitia vibaraka wake aliowapa elimu fake.
 
Gen Z wanasema Bara la Africa halijawahi kuwa Huru bali ni Unyonyaji ulihamishwa kutoka kwa Mzungu na kuwaachia vibaraka wao Weusi

Sasa Gen Z ndio wanapigania Uhuru wa kweli na Leo ndio wanafanya Tamasha la kihistoria la kuwakumbuka mashujaa waliouliwa kwenye Maandamano na kwamba hii itakuwa ni Siku rasmi kwa kila mwaka na itakuwa ni Mapumziko kwa Wafanyakazi

Credit: Citizens tv

Pia soma
- LIVE - Yanayojiri Maandamano Kenya: Vifo vya waandamanaji vyafikia 26 baada ya watu wawili waliokuwa wakiendelea kupatiwa matibabu kufariki
🙌🙌🙌
 
Ifike mahala kuwe na kiongozi,Kenya nimakambale hata vidogo vinasharubu.Ruto kawahumble sana! Nikweli Tz kunaukilitimba na kutishana lakini kunahaja ya kusikiliza uongozi. western Democracy is not applicable to Africans.
Yani watu wanateseka wananyanyaswa wewe unaona hawateseki vzur...kwamba kawa humble sana!... asee hii akil bnah
 
Gen Z wanasema Bara la Africa halijawahi kuwa Huru bali ni Unyonyaji ulihamishwa kutoka kwa Mzungu na kuwaachia vibaraka wao Weusi

Sasa Gen Z ndio wanapigania Uhuru wa kweli na Leo ndio wanafanya Tamasha la kihistoria la kuwakumbuka mashujaa waliouliwa kwenye Maandamano na kwamba hii itakuwa ni Siku rasmi kwa kila mwaka na itakuwa ni Mapumziko kwa Wafanyakazi

Credit: Citizens tv

Pia soma
- LIVE - Yanayojiri Maandamano Kenya: Vifo vya waandamanaji vyafikia 26 baada ya watu wawili waliokuwa wakiendelea kupatiwa matibabu kufariki
Bado naisubiri kwa hamu sana hiyo July 7 ifike.
 
Wakenya nawaonea wivu Kwa hatua waliyopiga ya kuwashughulikia Hawa wakoloni weusi na vibaraka wa wazungu Kwa manufaa ya wazungu pamoja na kwamba Kenya kunachangamoto Chache kuliko Tanzania lakini wenye changamoto Chache wanadai haki na wenye changamoto lukuki wametulia tu.hatari sana.
 
Gen Z wanasema Bara la Africa halijawahi kuwa Huru bali ni Unyonyaji ulihamishwa kutoka kwa Mzungu na kuwaachia vibaraka wao Weusi

Sasa Gen Z ndio wanapigania Uhuru wa kweli na Leo ndio wanafanya Tamasha la kihistoria la kuwakumbuka mashujaa waliouliwa kwenye Maandamano na kwamba hii itakuwa ni Siku rasmi kwa kila mwaka na itakuwa ni Mapumziko kwa Wafanyakazi

Credit: Citizens tv

Pia soma
- LIVE - Yanayojiri Maandamano Kenya: Vifo vya waandamanaji vyafikia 26 baada ya watu wawili waliokuwa wakiendelea kupatiwa matibabu kufariki
Looters call themselves demonstrators 😂😂😂😂😂! Stupid
 
Wakenya nawaonea wivu Kwa hatua waliyopiga ya kuwashughulikia Hawa wakoloni weusi na vibaraka wa wazungu Kwa manufaa ya wazungu pamoja na kwamba Kenya kunachangamoto Chache kuliko Tanzania lakini wenye changamoto Chache wanadai haki na wenye changamoto lukuki wametulia tu.hatari sana.
Uku kwetu unafki umeanzia ngazi ya familia ndugu, kwa ivo % kubwa kufanikiwa ni kupata connection ya uchawa...kawaida chawa haishi mahal pasafi, kwa hvo mahal pachaf(kiutendaj na ungoz) ambapo ni Tanzania ni mahali salama kwa machawa(wanafik), ndo maana kmya kimetawala!
 
Back
Top Bottom