johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Vijana waandamanaji wa Gen Z wameonya Wachungaji na Mapadre kutoruhusu Harambee za Wanasiasa kesho na wale watakaokaidi watakuona Cha moto
Gen Z wamesema kesho watatawanyika katika Makanisa yote kuzuia Harambee za Wanasiasa na Hata Harambee ya Rais Ruto wataizuia
Source: Citizen TV
PIA SOMA
- Je, GenZ wa Tanzania wanaweza kusimama kidete kama wenzao wa Kenya?
Gen Z wamesema kesho watatawanyika katika Makanisa yote kuzuia Harambee za Wanasiasa na Hata Harambee ya Rais Ruto wataizuia
Source: Citizen TV
PIA SOMA
- Je, GenZ wa Tanzania wanaweza kusimama kidete kama wenzao wa Kenya?