Gen Z watawanyika katika Makanisa mbalimbali kuzuia Harambee za Wanasiasa kesho, Padre wa Rais Ruto aonywa!

Gen Z watawanyika katika Makanisa mbalimbali kuzuia Harambee za Wanasiasa kesho, Padre wa Rais Ruto aonywa!

Wapo makini sana hicho kizazi cha Z!

20240622_200806.jpg
 
CCM hawapendi kusikia hizi habari maana zinaambukiza kama kansa.
 
Kosa kubwa alilofanya Jk Nyerere ni kuwaambia watu kiongozi yeyote ni mungu athari zake watanganyika wapo kama misukule yaani wao hawajui kudai haki zao.Angalia ujinga mwingine mwaka mzima aliwaaminisha watu kukimbiza kibatari ndio maendeleo😭 .Yaani shuleni wanafunzi wanaimba ,Tanu yajenga nchi yaani wizi tu.Nawatakia usiku mwema naandaa Farasi wangu jumatatu maandamano kariakooo
 
Kosa kubwa alilofanya Jk Nyerere ni kuwaambia watu kiongozi yeyote ni mungu athari zake watanganyika wapo kama misukule yaani wao hawajui kudai haki zao.Angalia ujinga mwingine mwaka mzima aliwaaminisha watu kukimbiza kibatari ndio maendeleo😭 .Yaani shuleni wanafunzi wanaimba ,Tanu yajenga nchi yaani wizi tu.Nawatakia usiku mwema naandaa Farasi wangu jumatatu maandamano kariakooo
Nyerere hakuwahi hata siku moja kuwaambia watu Kiongozi ni Mungu.Unajua mnaandika kwa jazba mpaka hata lile la kweli ambalo inawezekana labda mnalo mkaonekana wazushi na waongo wakubwa.Ndiyo kizazi mnachoringia hiki ?
 
Watu wa Kanairo always wako smart sana at mastar wao hawana pigo za kichawa ka wa tz big up sana kwao
 
Back
Top Bottom