johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Dr Nchimbi: Marufuku mwanaccm kuhudhuria Sherehe za Birthday au anniversary ya ndoa na kulipwa PoshoWewe Mzee muongo muongo sana wewe ππ . Wewe ni Kama popo . haieleweki ni mnyama au ndege.
Hakika πKususa uchaguzi ni sawa na kukimbia vitani. Maisha yatasonga
Naunga mkono hoja ,no retreat no surrender.Kichwa Cha Habari Ndio mtazamo wa Gen Z wa nchi Jirani
Wanawaambia Bavicha kwamba Dunia ya Utandawazi haina Kususia Jambo lolote bali kulipambania kwa njia zile zile anazotumia adui ila kwa mbinu za " Ujana" zaidi
Gen Z wanasema Reforms wanazoomba Chadema wanataka zitengenezwe na CCM na hapo ndipo wanapofeli kabisaaa
Ahsanteni sana
Jumaa Mubarak π
Amesema tukipewa tuwe tunachukua tu maana ni Sehemu ya kurudishiwa pesa zetuπππDr Nchimbi: Marufuku mwanaccm kuhudhuria Sherehe za Birthday au anniversary ya ndoa na kulipwa Posho
Utakufa njaa Lucas πππ
Domokaya Ana RAM Mdogo sanaKichwa Cha Habari Ndio mtazamo wa Gen Z wa nchi Jirani
Wanawaambia Bavicha kwamba Dunia ya Utandawazi haina Kususia Jambo lolote bali kulipambania kwa njia zile zile anazotumia adui ila kwa mbinu za " Ujana" zaidi
Gen Z wanasema Reforms wanazoomba Chadema wanataka zitengenezwe na CCM na hapo ndipo wanapofeli kabisaaa
Ahsanteni sana
Jumaa Mubarak π
Unachanganya madesa hapo, kususia uchaguzi na kuzuia uchaguzi usifanyike ni mambo mawili tofauti kabisa, aidha wewe au hao uliowanukuu hawajelewa tofauti ya mambo haya, rudini darasani.Kichwa Cha Habari Ndio mtazamo wa Gen Z wa nchi Jirani
Wanawaambia Bavicha kwamba Dunia ya Utandawazi haina Kususia Jambo lolote bali kulipambania kwa njia zile zile anazotumia adui ila kwa mbinu za " Ujana" zaidi
Gen Z wanasema Reforms wanazoomba Chadema wanataka zitengenezwe na CCM na hapo ndipo wanapofeli kabisaaa
Ahsanteni sana
Jumaa Mubarak π
πππAmesema tukipewa tuwe tunachukua tu maana ni Sehemu ya kurudishiwa pesa zetuπππ
Kimaarifa Gen Z wamewaacha mbali sana Bavicha ππ₯Unachanganya madesa hapo, kususia uchaguzi na kuzuia uchaguzi usifanyike ni mambo mawili tofauti kabisa, aidha wewe au hao uliowanukuu hawajelewa tofauti ya mambo haya, rudini darasani.
Wana hoja ya msingi snKichwa Cha Habari Ndio mtazamo wa Gen Z wa nchi Jirani
Wanawaambia Bavicha kwamba Dunia ya Utandawazi haina Kususia Jambo lolote bali kulipambania kwa njia zile zile anazotumia adui ila kwa mbinu za " Ujana" zaidi
Gen Z wanasema Reforms wanazoomba Chadema wanataka zitengenezwe na CCM na hapo ndipo wanapofeli kabisaaa
Ahsanteni sana
Jumaa Mubarak π
YapUnachanganya madesa hapo, kususia uchaguzi na kuzuia uchaguzi usifanyike ni mambo mawili tofauti kabisa, aidha wewe au hao uliowanukuu hawajelewa tofauti ya mambo haya, rudini darasani.
Kule Hakunaga CHAWAWana hoja ya msingi sn
Ile nchi haina migodi kama kwetu wala gas, lazima wananchi wake waishi kwa akili kubwa snKule Hakunaga CHAWA
Wana Utalii na Wamasai πIle nchi haina migodi kama kwetu wala gas, lazima wananchi wake waishi kwa akili kubwa sn
Kuna wa masai huko?Wana Utalii na Wamasai π